Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Jamani tupo maafisini tunaona,tena kama wewe sio mtumishi ni mfanyabiashara jiepushe kuoa Mwanamke mtumishi-na kama umeamua basi usimfatilie kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mara nyinginhawana tako wala titiHuu ndio ukweli. Usijichanganye kuoa mwanamke mwenye uchumi thabiti, utageuzwa mwanamke
Ni lini wanaume waliingia barabarani au majukwaani kudai haki sawa na wanawake?Haya yote mnayataka wenyewe wala msisingizie 50 50 ninyi wanaume hamtaki haki sawa ila mnataka majukumu sawa tena ikibidi mwanamke afanye zaidi, yani hadi leo kazi za nyumbani na malezi ya watoto mnaona ni majukumu ya mwanamke hamtaki kusaidia halafu hapo hapo bado mnataka wanawake wawape hela kama ninyi mnavyowapa na bado wawatii na wawaheshimu hivi inaingia akilini kweli hiyo, unaposema mwanamke anafaidi kusitiriwa hebu niambie anafaidi nini hasa ikiwa siku hizi mpaka michepuko yenu nayo mnaitreat kama wake zenu tu yani siku hizi tofauti ya mke na mchepuko ni pete na majukumu tu
Wee leta mbususu tuchakate hiyo mambo ya hela zako kaa nazo ila utelezi leta tuteleze kenge weeeTumekubaliana sisi hatuna cha kuwa offer na mwanamke asomeshwe na wazazi wake..!!
Sasa unataka mshahara wake unakuhusu? Si unapewa papuchi au?? 😹😹
Mtakula jeuri yenu na bado mtatoa sana milio mbegesi nyie 🤣
Wee leta mbususu tuchakate hiyo mambo ya hela zako kaa nazo ila utelezi leta tuteleTumekubaliana sisi hatuna cha kuwa offer na mwanamke asomeshwe na wazazi wake..!!
Sasa unataka mshahara wake unakuhusu? Si unapewa papuchi au?? 😹😹
Mtakula jeuri yenu na bado mtatoa sana milio mbegesi nyie 🤣
Na yeye marufuku kuuliza huyu mwanamke ni nani...aache nie joy mbususuKabla ya ndoa, mapato yenu yanakuwa ya wote.
Baada ya ndoa, mapato ya mwanamke ni ya kwake.
Kipato cha mwanaume ndio cha wote
Na mume ni marufuku kuuliza au kujua kipato cha mke.
Akhu.! Trump kasitisha PEP 😹Wee leta mbususu tuchakate hiyo mambo ya hela zako kaa nazo ila utelezi leta tutele
Kwahiyo wazazi walisomesha punda ikawabebee mizigo yao ya uzembe wao wa kufeli maisha? Yaani wewe unachanganya kati ya kuwasaidia wazazi na shida ndogo ndogo kama chakula,matibabu na vitu vingine vya dharula na swala la Kutaka kuwabadilishia maisha wazazi wake completely yaani tu unataka kuwajengea nyumba wazazi,kuwasomesha wadogo zake full na wanandugu lakini pia kuwapa hela za matumizi, sasa hapo kwenye ndoa atakuwa na impact gani si angebakia kwao tu?Yaani binti kasomeshwa na wazazi wake kapata kazi wewe wa nyamitwebile umemuoa tena kwa mahari ya kusaidiwa unataka asiwasaidie kwao uhayani hivi umewAhi somesha wewe? Hebu somesha uone
Hainuhusu mie hiyo pep njoo tugegedane...@joannah ananinyima titiAkhu.! Trump kasitisha PEP 😹
Haujahudhuria vikao vingi basi. Kikao cha mwaka 2000 hiyo kanuni ilitenguliwa. So jidanganye.Kabla ya ndoa, mapato yenu yanakuwa ya wote.
Baada ya ndoa, mapato ya mwanamke ni ya kwake.
Kipato cha mwanaume ndio cha wote
Na mume ni marufuku kuuliza au kujua kipato cha mke.
Sijasema nataka mshahara wake, ila kuna namna mwanamke mwenye mshahara anatakiwa awe na impact kwenye familia kuliko ambae hana mshahara, sisemi kuwa ntakuwa kiben ten wa mke, majukumu ya kuhudumia familia ntayabeba kama mwanaume kwa asilimia kubwa, yani wewe unajua mwanamke supportive alivyo ila unajitoa tu ufahamSasa unataka mshahara wake unakuhusu? Si unapewa papuchi au?? 😹😹
Mwanamke anafanya kazi mshahara million. Mwanaume unapiga biashara unaishi kwa maokoto. Unalipa kodi ya nyumba,ada za watoto na utility zote juu yako ila mwanamke hata aseme siku akutoe out,akununulie kiatu cha maana, nguo,au anaunue tv set mpya hapo ndani au makochi abadili. Hathubutu.Sijasema nataka mshahara wake, ila kuna namna mwanamke mwenye mshahara anatakiwa awe na impact kwenye familia kuliko ambae hana mshahara, sisemi kuwa ntakuwa kiben ten wa mke, majukumu ya kuhudumia familia ntayabeba kama mwanaume kwa asilimia kubwa, yani wewe unajua mwanamke supportive alivyo ila unajitoa tu ufaham
Mungu alivomuumba Eva, alikuwa na nia ya kumpa Adam msaidizi, sema ndo ivyo wasaidizi wengi sahivi mmekuwa wanyonyaji 😁
Mwanamke supportive nae inatakiwa abahatike apate mwanaume anaejielewa, mwanamke supportive ajichanganye aolewe na mzabzab looh Lamomy
Mkuu share japo kidogo watu wajifunze?Nikisoma nyuzi kama hizi hua naishia kumshukuru Mungu, maana sio kwa uwezo wala ujanja wangu aiseeee....
Ila wanaume mnateseka sana kwenye ndoa zenu haki.....
Kukununulia nguo huko ni mbali😁, hapo kazini au mtaa wa jirani mjaribu mdada mmoja ambae sio ndugu Wala mpenzi, ila mmezoeana kidogo, mwambie unaomba akununulie andazi la 500, kuna uwezekano asilimia 95 kuwa hatokununulia, ila yeye atatategemea umpe zawadi kubwa kubwa k.v smartphone 😁 Zemandaila mwanamke hata aseme siku akutoe out,akununulie kiatu cha maana, nguo,au anaunue tv set mpya hapo ndani au makochi abadili. Hathubutu
Ulinzi uimarishwe kipande hiiSi tulikubaliana wanawake hatuna cha kuwa offer zaidi ya papuchi?? Au kuna kikao kipya mlikaa mkabadilisha maamuzi??
binti kiziwi mate hebu njoo unielezee km kuna mswaada mpya mimi sikuwepo kwenye kikao 😹😹😹
Na kitawalamba sana mpk maji muite mma 🤣
🤔🤔🤔🤔halafu wanawake wana vingi vya kuoffer kwa wanaume ukitoa pesa, ilihali wanaume ukitoa pesa hawana cha kuoffer kwa wanawake
Kitu kikubwa ambacho mwanaume anakihitaji kwenye ndoa ni "utii" kutoka kwa mke wake.Mkuu share japo kidogo watu wajifunze?