MWANAMKE MWENYE FUTURE YA MAISHA YAKE HAWEZI KUMKATAA MWANAUME ANAYEHITAJI KUMUOA.

MWANAMKE MWENYE FUTURE YA MAISHA YAKE HAWEZI KUMKATAA MWANAUME ANAYEHITAJI KUMUOA.

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Nimewahi sikia eti MWANAUME ANASEMA WANAWAKE WANANIKATAA
👇
Rafiki mwanamke akupendae na mwenye Future Yake hakatai mtu. Labda kama anampango wa kuchuna mali zako.
But real women 🚺 hakatai mwanaume.
Hasa mwanaume anayehitaji kuoa
So ukiona wamwambia mwanamke Nikuoe hataki mwache
 
Nimewahi sikia eti MWANAUME ANASEMA WANAWAKE WANANIKATAA
👇
Rafiki mwanamke akupendae na mwenye Future Yake hakatai mtu. Labda kama anampango wa kuchuna mali zako.
But real women 🚺 hakatai mwanaume.
Hasa mwanaume anayehitaji kuoa
So ukiona wamwambia mwanamke Nikuoe hataki mwache
Mabinti wengi kwa sasa hawahitaji ndoa ukweli ndio huo
 
Ndoa sio muhimu lazima aangalie vigezo , sio kuoa iwe silaha ya sisi kuwanyanyasa wanawake na kuzuia ndoto zao , hivo hata mwehu akisema anataka kumuoa akubali Tu ? Hapana hawa Wana malengo pia , hawezi kuolewa wakati anajua hayuko safe
 
Ndoa sio muhimu lazima aangalie vigezo , sio kuoa iwe silaha ya sisi kuwanyanyasa wanawake na kuzuia ndoto zao , hivo hata mwehu akisema anataka kumuoa akubali Tu ? Hapana hawa Wana malengo pia , hawezi kuolewa wakati anajua hayuko safe
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom