Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Niache banaHututendei haki bwana. Neno moja tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niache banaHututendei haki bwana. Neno moja tafadhali
Rafik unanifanyia roho mbaya dah aisee..bas sawa.Aaah wapo bwana.....ila akiwa na hela inatosha kushenyeta tutavumilia
Kweli wengi kipaumbele chao ni kudanga na waume za watu tu ndiyo furaha yao.Sio kila mwanamke kipaumbele chake ni kuolewa.
We Mwanaume akitaka kukuoa we mkubalie tu hakuna Mwanaume hasiyekua na sifa ya kua mume, Mwanamke ndiyo anayetakiwa kuwa na sifa za kua Mke kwasababu Mwanamke ndiyo operation Manager ndani ya familia.Huwezi kuolewa tu na kila mwanaume anayesema nikuoe...kuoa ni majukumu je huyo muoaji ana sifa za kuwq mume?
Kama imekaa vizuri....ila kama ni mbishi na hasikilizi ushauri je?We Mwanaume akitaka kukuoa we mkubalie tu hakuna Mwanaume hasiyekua na sifa ya kua mume, Mwanamke ndiyo anayetakiwa kuwa na sifa za kua Mke kwasababu Mwanamke ndiyo operation Manager ndani ya familia.
Ndoa wanahiitaji lakini hawataki kuachana na ile hoe and prtying lifestyle waliyoaminishwa kwamba ndio uhuru, feminism au maisha ya kisasa.Mabinti wengi kwa sasa hawahitaji ndoa ukweli ndio huo
Kama anajua kutoa huduma siyo mbayaKama imekaa vizuri....ila kama ni mbishi na hasikilizi ushauri je?