Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Uko wapi...Kataa ndoa, ndoa ni mikopo ya kausha damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi...Kataa ndoa, ndoa ni mikopo ya kausha damu
Ndiyo kimbilieni...Kwahiyo yeyote akisema nikuoe tukimbilie kama swala
🤣🤣🤣 Hapana kwa kweli....Ndiyo kimbilieni...
Wanawake lakini nao si wana machaguo?Nimewahi sikia eti MWANAUME ANASEMA WANAWAKE WANANIKATAA
👇
Rafiki mwanamke akupendae na mwenye Future Yake hakatai mtu. Labda kama anampango wa kuchuna mali zako.
But real women 🚺 hakatai mwanaume.
Hasa mwanaume anayehitaji kuoa
So ukiona wamwambia mwanamke Nikuoe hataki mwache
Are you sure you are single...🤣🤣🤣 Hapana kwa kweli....
I prefer to stay single forever..
Usingle siyo kifo mkuu
🤣😔Are you sure you are single...
Nakuunga mkono love , ndoa sio kila kitu kwenye maisha cause maisha Yana mambo mengi ,🤣🤣🤣 Hapana kwa kweli....
I prefer to stay single forever..
Usingle siyo kifo mkuu
Cute,tunaumia kwa kukurupuka..Nakuunga mkono love , ndoa sio kila kitu kwenye maisha cause maisha Yana mambo mengi ,
Nipigieeee nipigieeeUko wapi...
Hahahaha 😂 be calm tafadhaliKwahiyo yeyote akisema nikuoe tukimbilie kama swala
Njoo unambie vzur kilichokusibu kisha namim nkusimulie😂😂ila kukaa single hapana aseee.🤣🤣🤣 Hapana kwa kweli....
I prefer to stay single forever..
Usingle siyo kifo mkuu
Unadate na mtu mwaka nzima unamuambia nikuoe anakataa sasa wanini wewe nakupiga chiniKwahiyo yeyote akisema nikuoe tukimbilie kama swala
Yeah,Kuna mambo anakuwa hajaridhika kilasikuUnadate na mtu mwaka nzima unamuambia nikuoe anakataa sasa wanini wewe nakupiga chini
🤣🤣🤣Maisha bila changamoto hutoboiNjoo unambie vzur kilichokusibu kisha namim nkusimulie😂😂ila kukaa single hapana aseee.
Ndo.uamue kukaa single wajameni 😂😒🤣🤣🤣Maisha bila changamoto hutoboi
🤣🤣🤣🤭Hahahaha 😂 be calm tafadhali
🤣🤣🤣 Inawezekana cute...au huwezi?Ndo.uamue kukaa single wajameni 😂😒
Yeah,mnakosea aisee...japo nasi tunakosea piaYes mpenzi , Sisi wanaume tunawatumikisha kwenye mahusiano na kupoteza malengo yenu, sio sawa