Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Umeamkaje- nimesimama
Umeshindaje- kwa penati
Umelalaje- nimelalia ulimi😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamkaje- nimesimama
😀😀Umeamkaje- nimesimama
Umeshindaje- kwa penati
Umelalaje- nimelalia ulimi😂🤣
mwanake mzuri ni yule ambae wakati wa tendo hanuki mavi, hanuki mdomo na wala papuchi haitoi harufu kama Feri. Sifa nyingine ni porojo tu.Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?
Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.
Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.
Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Sitokufanyia Kama hivyoo😂🤣🤣
Umeanza 😂😂😂😂
Nini Tena we dogo🤔🙃😂Umeanza 😂😂😂😂
Umesema huyo atulie na mkewe ayo maswali tuulize tulio singleNijibu nn jamani
Intelligent businessman atakuua kwa njaa mdogo wanguu😁😁!
Walaaa Aaliyyah hapa amefika, na atapata atakacho stahili😂😂🤗Intelligent businessman atakuua kwa njaa mdogo wanguu😁😁!
[emoji23][emoji23][emoji23]sonona itakumaliza
Watu wakishapigwa za uso wanakuaga na hizo kauli [emoji23][emoji23][emoji23]nakataa....
[emoji23]Kmmk, hiyo avatar Ina onyesha uhalisia was bangi zako[emoji849][emoji848][emoji848]
Nchi inauzwa hii yupo busy kuuliza mwanamke yupi mzuri!!Nchi inauzwa nyie mnakalia mapenzi acheni uzwazwa..😂
USI fufue makaburi 😂🤣😂[emoji23]
Imebidi nikaview vizuri avatar ya kijana wangu kuhakiki usemayo ahahaaUSI fufue makaburi [emoji23][emoji1787][emoji23]
Violence was activated 🤣😂😂🤓Imebidi nikaview vizuri avatar ya kijana wangu kuhakiki usemayo ahahaa