Mwanamke mzuri ni yupi?

Mwanamke mzuri ni yupi?

Mwanamke mzuri Ni Mama yako mzazi
Sometimes makosa ya wazazi akiwemo mama waliofanya huko nyuma ,yanaweza kuwagharimu pakubwa watoto... Nimekuwa mkubwa najionea mwenyewe with my naked eyes [emoji58]
 
Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?

Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.

Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.

Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Kati ya hizo sample mbili hakuna hata mmoja. Hao ni wafanyabiashara wawili.
Vitabu vitukufu vinasema, mwanamke amchaye BWANA ndiye atakayesifiwa. Katika kizazi hiki cha zinaa tulichopo, tafuta mwanamke mcha Mungu.
 
Upeo wako umeishia kwenye kupima uzuri wa mwanamke kwenye hayo mambo mawili tu[emoji3][emoji3]kweli hiki kizazi ni noma!
 
Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?

Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.

Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.

Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?

Beauty is in the eye of the beholder.
 
Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?

Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.

Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.

Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Mwanamke mzuri ni yule mwenye tako na akili😁😁
 
Back
Top Bottom