Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji41][emoji41][emoji41]Violence was activated [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji851]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji41][emoji41][emoji41]Violence was activated [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji851]
Ndio ulizeni nyie sio waoUmesema huyo atulie na mkewe ayo maswali tuulize tulio single
Et eehIntelligent businessman atakuua kwa njaa mdogo wanguu😁😁!
Inauzwa na nani?Nchi inauzwa hii yupo busy kuuliza mwanamke yupi mzuri!!
upo wewe mbona😀Watu wakishapigwa za uso wanakuaga na hizo kauli [emoji23][emoji23][emoji23]
Huja nizoea tu😂🤣🤓Inapendeza sanaaa kichaa akee usiachie dhahabu hioo!!
Ndio nikasema unijibu mimiNdio ulizeni nyie sio wao
Sometimes makosa ya wazazi akiwemo mama waliofanya huko nyuma ,yanaweza kuwagharimu pakubwa watoto... Nimekuwa mkubwa najionea mwenyewe with my naked eyes [emoji58]Mwanamke mzuri Ni Mama yako mzazi
Kati ya hizo sample mbili hakuna hata mmoja. Hao ni wafanyabiashara wawili.Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?
Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.
Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.
Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Mshamba una akili kishenzi...I like youtafta tu mmoja anaekupenda jinsi ulivyo.... baki njia kuu
dah, kichwa kimevimba.... nashkuruMshamba una akili kishenzi...I like you
na nyie si mnampima mwanaume kwa kigezo kimoja tu....Upeo wako umeishia kwenye kupima uzuri wa mwanamke kwenye hayo mambo mawili tu[emoji3][emoji3]kweli hiki kizazi ni noma!
NakaziaHataki hela zako, ukimuita haji kwa wakati =MUWOWE ili umpate kwa wakati..
Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?
Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.
Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.
Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?
Inategemea na mtu na mtuna nyie si mnampima mwanaume kwa kigezo kimoja tu....
Mwanamke mzuri ni yule mwenye tako na akili😁😁Ni yule asiyekupiga mizinga na haji kwa wakati pale unapomhitaji au ni bora yule anayekupiga mizinga na anakuja kwa wakati pale unapomhitaji?
Nikimaanisha huyu anakuja kwa wakati akijua kuna hela atachukua, na yule mwingine anakuambia ana mapenzi na wewe ya dhati na ahitaji hela zako, lakini haji kwa wakati pale unapomhitaji.
Hii imetupelekea badhi ya wanaume tukijiandaa kwa shoo, tukijua wapenzi wetu wanakuja, mwisho wa siku hawatokei na kutusababishia maumivu ya mioyo yetu.
Wakuu, mwanamke mzuri ni yupi?