Mwanamke na mwanaume waliosimamishwa kwenye mkutano na Makonda siyo wanandoa na wala hakuna anayewafahamu. Walitokea wapi?

Mwanamke na mwanaume waliosimamishwa kwenye mkutano na Makonda siyo wanandoa na wala hakuna anayewafahamu. Walitokea wapi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
 
Mmeshikwa pabaya na Mheshimiwa Makonda mpaka mmeanza kuweweseka kama wagonjwa .mapokezi makubwa anayuyapata na namna wananchi wanavyo miminika na kufurika kama maji kumewachanganyeni sana wapinzani na wenye chuki binafsi na Mheshimiwa, ambao mlikuwa mnasema anachukiwa na watanzania na hakuna atakaye kuwa anakwenda kwenye mikutano yake.sasa baada ya kuona maelefu kwa Malaki ya watu wanatiririka kukimbilia kumsikiliza Mheshimiwa Makonda mmeanza porojo na blaa blaa za uongo na uzushi.

Kaeni kwa kutulia maana ndio kwanza haya mwaka hajamaliza ofisini .maana yajayo yanafurahisha sana
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Waliomteua ndio wana matatizo makubwa sana sana, anachokifanya Makonda ni usanii na ulaghai mkubwa, ni utoto na dharau kwa wanaokwenda kumsikiliza
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Kuna wakati ficha Chuki zako, Bwire siyo Meneja wa Tanesco Kakonko yule Dada siyo Mke wa Bwire? Kwanza wewe unaongelea kanda ya Ziwa wakati jambo hilo limetokea Kigoma Wilaya ya Kakonko.
Tafuta jambo lingine la kumchafua Ndungu Makonda.
 
Kuna wakati ficha Chuki zako, Bwire siyo Meneja wa Tanesco Kakonko yule Dada siyo Mke wa Bwire? Kwanza wewe unaongelea kanda ya Ziwa wakati jambo hilo limetokea Kigoma Wilaya ya Kakonko.
Tafuta jambo lingine la kumchafua Ndungu Makonda.
Wewe ujuavyo Bwire siyo Mwenyeji wa Mara? Mara ipo kanda gani? Tuwekee hapa uthibitisho kwamba wale ni familia moja......

Hatuzungumzii siasa tunazungumzia facts......tupe hiyo hukumu ya mahakama iliyotoa talaka

Tuambie penye talaka mazungumzo ya jukwaa la siasa yanapenyaje kufuta hukumu?

Digest
 
Hivi watu mnaomuita Bashe ni Smart?
Hua ni machawa? Mmetumwa au ndio Bashe mwenyewe?
Mnatumia nguvu sana kumtafutia kiki

Otherwise compassion yenu mnaifanya na makonda tuu.
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
bado hamjasemaaa mpaka msemeee na baadoo
 
Unachotakiwa kujua ni kuwa katika Mikutano hiyo Watu hutoka maeneo tofauti ili kwenda kueleza kero zao au hata kusikiliza, kwa hiyo usitegemee kama utamjua kila mtu, kama kwenye Mtaa tu kuna wengine huwezi wajua sembuse kwenye Mkoa.

Kwa Mtu anayefuatilia au kwenda kwenye Mikutano hiyo hawezi kukubaliana na "Uthomaso"wako, hata kama Makonda anamapungufu yake lakini kwa anachokifanya sasa anasitahili pongezi..
 
Wewe ujuavyo Bwire siyo Mwenyeji wa Mara? Mara ipo kanda gani? Tuwekee hapa uthibitisho kwamba wale ni familia moja......

Hatuzungumzii siasa tunazungumzia facts......tupe hiyo hukumu ya mahakama iliyotoa talaka

Tuambie penye talaka mazungumzo ya jukwaa la siasa yanapenyaje kufuta hukumu?

Digest
mkutamo wa ulikiwa mara au kigoma?
 
"Haya mama sema unataka mtaji wa sh ngapi kufanya biashara" alisikika mama mmoja akisema mil 5 inatosha.
 
Mkipanic haitasaidia cha msingi tutafute ukweli ; mkiweka emotional za kisiasa mtapata kiriba tumbo.....relax mpigie simu meneja wa TANESCO umuulize

Kwanza meneja wa TANESCO badala ahojiwe kuhusu kero ya umeme akahojiwe kuhusu mapenzi? Wananchi wananufaikaje na mapenzi ya viumbe hao......je kila mwenye kugombana aende kwake?

Hii move alichezewage Lowasa, wakatafuta mtu huko ajifanye ni mwanaye ; if you remember utatambua tunachojadili hapa.

Walifanyiwa wakina wema wakiambiwa wanauza ngada
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Itoshe kusema tu ya kwamba wewe famba..punguani usiokuwa na mbele wala nyuma. Wewe unawajua wale watu? Wao wamesema wametengana..wewe unasema sio kweli..baasi tuambie unachojua huku jf.
 
Usichojua ungenyamaza

Yule ni Mke wa Huyo Meneja kama unabisha basi wewe ndio mkewe au?

Huyo Bashe unaemwita smart Hilo wizara si limeshinda
Kwa hiyo, aliyeshitakiwa ndo katembea na mahakama mfukoni? Au imehamia kichwani mwake!
 
Back
Top Bottom