Mwanamke na mwanaume waliosimamishwa kwenye mkutano na Makonda siyo wanandoa na wala hakuna anayewafahamu. Walitokea wapi?

Mwanamke na mwanaume waliosimamishwa kwenye mkutano na Makonda siyo wanandoa na wala hakuna anayewafahamu. Walitokea wapi?

Wewe mwana chuki wa Chadema acha ujuha wako weakening matako chalice. Pumzishe nyongo.
Wewe na wapumbavu wenzako mmepata au mnao ushahidi gani wa kuthibitisha ilhali watu wa kakonko wenyewe wanamjua Bwire pamoja na huyo mke wake?
Pumbavu wakubwa nyie!
 
Mmeshikwa pabaya na Mheshimiwa Makonda mpaka mmeanza kuweweseka kama wagonjwa .mapokezi makubwa anayuyapata na namna wananchi wanavyo miminika na kufurika kama maji kumewachanganyeni sana wapinzani na wenye chuki binafsi na Mheshimiwa, ambao mlikuwa mnasema anachukiwa na watanzania na hakuna atakaye kuwa anakwenda kwenye mikutano yake.sasa baada ya kuona maelefu kwa Malaki ya watu wanatiririka kukimbilia kumsikiliza Mheshimiwa Makonda mmeanza porojo na blaa blaa za uongo na uzushi.

Kaeni kwa kutulia maana ndio kwanza haya mwaka hajamaliza ofisini .maana yajayo yanafurahisha sana
Naona vijana wa Bashe wamekuja kimshambulia Ndg yetu Paulo

Salama Mzee huko shamba
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Unataka tujadili case za mwamposa/ccm n bashite? Stay away
 
Mmeshikwa pabaya na Mheshimiwa Makonda mpaka mmeanza kuweweseka kama wagonjwa .mapokezi makubwa anayuyapata na namna wananchi wanavyo miminika na kufurika kama maji kumewachanganyeni sana wapinzani na wenye chuki binafsi na Mheshimiwa, ambao mlikuwa mnasema anachukiwa na watanzania na hakuna atakaye kuwa anakwenda kwenye mikutano yake.sasa baada ya kuona maelefu kwa Malaki ya watu wanatiririka kukimbilia kumsikiliza Mheshimiwa Makonda mmeanza porojo na blaa blaa za uongo na uzushi.

Kaeni kwa kutulia maana ndio kwanza haya mwaka hajamaliza ofisini .maana yajayo yanafurahisha sana

Mtu asiye na hela ya kula anaonekana hata kwa muonekano, je kwenye huo mikutano wa maigizo huyo mama muonekano wake ni wa kukosa chakula? Je ni kweli Bado Makonda anawapigia simu mawaziri au kero zimeisha? Je huko kigoma kero ya umeme imeisha Hadi Makonda aone kero kubwa iliyobaki ni ndoa ya huyo meneja wa Tanesco?
 
Mtu asiye na hela ya kula anaonekana hata kwa muonekano, je kwenye huo mikutano wa maigizo huyo mama muonekano wake ni wa kukosa chakula? Je ni kweli Bado Makonda anawapigia simu mawaziri au kero zimeisha? Je huko kigoma kero ya umeme imeisha Hadi Makonda aone kero kubwa iliyobaki ni ndoa ya huyo meneja wa Tanesco?
Haya mambo hayana tofauti na wakati wa mlipuko wa habari za Babu wa Loliondo na kikombe chake!
Misafara ya magari kwenda kupata tiba ilikuwa inafikia kilometa kadhaa na watu walikuja kushtuka utapeli huo wengi wakiwa wamejifia.
Na utapeli ule ulikuwa unagharamiwa kwa mkono wa serikali hasa kupotezea maandamano ya Chadema ambayo yalitangazwa nchi nzima na yalipoanza Mwanza yalionyesha mafanikio makubwa, enzi hizo Slaa akiwa moto hasa.
Kwa hiyo Makonda ni Babu wa Loliondo wa kizazi kipya. Tapeli.


View: https://youtu.be/llbCzteGM7Y?si=rzMWFzjvsADiM6ba

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mtu asiye na hela ya kula anaonekana hata kwa muonekano, je kwenye huo mikutano wa maigizo huyo mama muonekano wake ni wa kukosa chakula? Je ni kweli Bado Makonda anawapigia simu mawaziri au kero zimeisha? Je huko kigoma kero ya umeme imeisha Hadi Makonda aone kero kubwa iliyobaki ni ndoa ya huyo meneja wa Tanesco?
Haya mambo hayana tofauti na wakati wa mlipuko wa habari za Babu wa Loliondo na kikombe chake!
Misafara ya magari kwenda kupata tiba ilikuwa inafikia kilometa kadhaa na watu walikuja kushtuka utapeli huo wengi wakiwa wamejifia.
Na utapeli ule ulikuwa unagharamiwa kwa mkono wa serikali hasa kupotezea maandamano ya Chadema ambayo yalitangazwa nchi nzima na yalipoanza Mwanza yalionyesha mafanikio makubwa, enzi hizo Slaa akiwa moto hasa.
Kwa hiyo Makonda ni Babu wa Loliondo wa kizazi kipya,Tapeli.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Hizo pesa anazogawa huwa mikononi salama kwani hurudishwa na kugawiwa wengine tena na tena.
 
Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.
Walishajua watanzania wanapenda sana soga na mambo ya kushambuliana majukwaani ndiyo maana wamekuja na drama
 
.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Kama watu wanapenda drama, wape wanachotaka ili uvune kukubalika, kura, endelea kula supu, nyama utazikuta chini post 2025!.
P
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Umechelewa kujua hilo.shida ya Makonda ni maigizo mepesi mepesi sana hata watoto wanagundua Hadaa zake.
 
Itoshe kusema tu ya kwamba wewe famba..punguani usiokuwa na mbele wala nyuma. Wewe unawajua wale watu? Wao wamesema wametengana..wewe unasema sio kweli..baasi tuambie unachojua huku jf.
Acheni maigizo mtaumbuka tu.
 
Hizo pesa anazogawa huwa mikononi salama kwani hurudishwa na kugawiwa wengine tena na tena.
No hizi sio kama zile za tunza za mashosti na mashostito wao kwenye kitchen parties!, hizi ni fedha za kweli zikitoka zimetoka.
P
 
Yule mama aliyesema ametengana na mme wake na kwamba anakosa pesa ya kula imebainika ni bosheni ya mzee baba kutafuta kick.

Kwanza hawa wafu siyo wenyeji wa kanda ya ziwa, lakini pia yule mwanamke na mwanaume inasemekana walikuwa na usafiri wao kwenye mkutano ila mwanamke akawa anajidai hana pesa ya kula.

Lakini pia ukisikiliza ile clip na kumwangalia mwonekano wa yule mwanamke utabaini ni familia bora na lengo la ile move nikuvuta attention ya watu.

Kwa upande mwingine hata watoto wadogo wanapewa mic wanakuwa tayari wamepangwa. Michezo hii unajiuliza ina manufaa gani kwa Taifa? Tuendelee na sarakasi hizi zisizoleta umeme, maji wala kujenga barabara?

Lakini pia taarifa za msafara wake zinadai amekuja na mbinu baada ya kuona hakuna mwitikio kwenye mikutano ya pangani kuelekea Singida.

Je, kwa drama hizi kwanini mtu smart kama Bashe asikatae kupelekwa kama mzigo? Toka Bashe ameshtukia huu mchezo simu kwenda kwa Mawaziri unazisikia tena?

Nchi haiwezi kuendelea kwa drama......njo na sera za kuinua wanyonge siyo kugawa laki mbili sijui tano mara milioni. Dunia inahitaji brains zakupambana na Micro na Macro economy
Watanzania wanalalamika
CCM inalalamika

Gundu ni kikimba sana sana
 
Back
Top Bottom