Mwanamke ni mtu mwenye akili zaidi ya tunavyodhani

Mwanamke ni mtu mwenye akili zaidi ya tunavyodhani

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini.

Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo flani hawaelewi, hii wanafanya kwa makusudi kabisa na wanajua wanachokifanya, sio bahati mbaya.

Wanajua nature ya wanaume, kwaio anajua kabisa akijifanya hana akili au mgumu kuelewa, wewe mwanaume utaishia kumfanyia mambo yake au kumsaidia ili asitumie nguvu nyingi.

Huwaga hujiulizi, kwann wanawake wakiwa wenyew au wasipokuwa na mwanaume karibu yao huwaga wapo makini sana na wanakuwa very efficient kufanya mambo yao, ila wakishaona kuna dume lipo pembeni wanajizima data.

Mwanamke anajua vizur kabisa kwamba akijifanya hana akili au hajui lolote mbele ya mwanaume itamsaidia yeye kwa kiwango kikubwa na ndio maana wanafanya hivi.

Ushawahi kujiuliza kwann ukitembea na mpenzi au mke wako huwa wanatembea kama vipofu? Yaan hata jiwe lililopo mbele yake halioni hadi umvute umwambie utajikwaa mama tembea vizur, bac mwenzako pale ndo ana-enjoy anaona anapendwa.
 
kweli bhana
Screenshot_20240915-135712~2.jpg
 
kuna tafiti(kitabu) Battle of the Brain Men Vs Women ,kinasema wanasema ubongo wa mwanamke unafanya kazi kwa usahii kuzidi MEN

Women tend to display a stronger connection side-to-side, which can mean they excel at analyzing, drawing conclusions and have strong intuitive thinking...
 
Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini.

Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo flani hawaelewi, hii wanafanya kwa makusudi kabisa na wanajua wanachokifanya, sio bahati mbaya.

Wanajua nature ya wanaume, kwaio anajua kabisa akijifanya hana akili au mgumu kuelewa, wewe mwanaume utaishia kumfanyia mambo yake au kumsaidia ili asitumie nguvu nyingi.

Huwaga hujiulizi, kwann wanawake wakiwa wenyew au wasipokuwa na mwanaume karibu yao huwaga wapo makini sana na wanakuwa very efficient kufanya mambo yao, ila wakishaona kuna dume lipo pembeni wanajizima data.

Mwanamke anajua vizur kabisa kwamba akijifanya hana akili au hajui lolote mbele ya mwanaume itamsaidia yeye kwa kiwango kikubwa na ndio maana wanafanya hivi.

Ushawahi kujiuliza kwann ukitembea na mpenzi au mke wako huwa wanatembea kama vipofu? Yaan hata jiwe lililopo mbele yake halioni hadi umvute umwambie utajikwaa mama tembea vizur, bac mwenzako pale ndo ana-enjoy anaona anapendwa.
Aah kumbe!
 
Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini.

Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo flani hawaelewi, hii wanafanya kwa makusudi kabisa na wanajua wanachokifanya, sio bahati mbaya.

Wanajua nature ya wanaume, kwaio anajua kabisa akijifanya hana akili au mgumu kuelewa, wewe mwanaume utaishia kumfanyia mambo yake au kumsaidia ili asitumie nguvu nyingi.

Huwaga hujiulizi, kwann wanawake wakiwa wenyew au wasipokuwa na mwanaume karibu yao huwaga wapo makini sana na wanakuwa very efficient kufanya mambo yao, ila wakishaona kuna dume lipo pembeni wanajizima data.

Mwanamke anajua vizur kabisa kwamba akijifanya hana akili au hajui lolote mbele ya mwanaume itamsaidia yeye kwa kiwango kikubwa na ndio maana wanafanya hivi.

Ushawahi kujiuliza kwann ukitembea na mpenzi au mke wako huwa wanatembea kama vipofu? Yaan hata jiwe lililopo mbele yake halioni hadi umvute umwambie utajikwaa mama tembea vizur, bac mwenzako pale ndo ana-enjoy anaona anapendwa.
Ushuzi baridi huu
 
kuna tafiti(kitabu) Battle of the Brain Men Vs Women ,kinasema wanasema ubongo wa mwanamke unafanya kazi kwa usahii kuzidi MEN

Women tend to display a stronger connection side-to-side, which can mean they excel at analyzing, drawing conclusions and have strong intuitive thinking...
During the formative period of childhood, female brains begin to process information differently than male brains. For instance, females tend to have verbal centers on both sides of the brain, while males tend to have verbal centers only in the left hemisphere. Females often have a larger hippocampus (the “center” of human memory) with a higher density of neural connections in that area. As a result, females take in and absorb more sensory and emotional information than their male counterparts. It has also been shown that male brains use more grey matter (information and action-centered areas of the brain) when processing information, while females use more white matter (which governs “higher order” reasoning and thinking). This is why females tend to be better at multi-tasking, are usually better at interpreting emotions, and seem to have “women’s intuition” (which I think is a term invented by men to explain why women are generally smarter!).
 
Akili wanayo lakini hawawezi kuwazidi akili wanaume ndomana mwanaume ana uwezo wa kumtongoza mwanamke na akampata ila mwanamke sio rahisi kumtongoza mwanaume akakubali tofauti na kumtamanisha.

Wanawake kinachowasaidia sana ni uoga. Uoga unawafanya wajitahidi kufanya vitu kwa usahihi kuepuka changamoto
 
Upo sahihi Kbsa mleta mada
Wanawake wanna akili Sana mimi mwenyewe nimelishuhudia hili
Pia ni Wajinga wajinga,..kama umesoma kitabu cha kiyosaki rich dad,kuna chapter inaitwa ARE WOMAN THE WEAKER SEX?? Kaeleza japo sio sana tofauti zetu,hapo ndio nikapata mwanga wa kudig deeper tangu eden hadi hapa,..now tujiulize je wanawake ni Jinsia dhaifu??
 
Japo umeongeza chumvi nyingi ila nakubaliana na wewe sababu yangu ikiwa ni kwamba ndo namna yao ya kutuvuta kihisia.

Mfano mwanamke anaweza akakuomba umrekebishie kitu flani kwenye simu yake ili hali yeye uwezo huo anao, lakini lengo ni wewe uone upo juu yake.
Na wanaume tunavyopenda kuwa juu/kuwa wakubwa, unajikuta unampenda huyo mwanamke ukidhani atakuwa mrahisi kutawala.
 
Akili wanayo lakini hawawezi kuwazidi akili wanaume ndomana mwanaume ana uwezo wa kumtongoza mwanamke na akampata ila mwanamke sio rahisi kumtongoza mwanaume akakubali tofauti na kumtamanisha.

Wanawake kinachowasaidia sana ni uoga. Uoga unawafanya wajitahidi kufanya vitu kwa usahihi kuepuka changamoto
Kwahiyo bro kutongoza ndo umeona kitu cha kutumia akili kweli??? Na mkiambiwa wanawake wamewazidi akili mnamind 😹
 
Akili wanayo lakini hawawezi kuwazidi akili wanaume ndomana mwanaume ana uwezo wa kumtongoza mwanamke na akampata ila mwanamke sio rahisi kumtongoza mwanaume akakubali tofauti na kumtamanisha.
You're very wrong.

Nikwambie kitu broo, mwanamke anakusoma haraka sana kabla hata hujafikisha maneno 100 ashakujua wewe ni mwanaume wa aina gani, huo ujasiri unao-onyesha mbele yake ni fake au we ni jasiri kweli, anajua kabisa huyu ananitaka sema anazunguka tuu, yaan hayo mambo anayajua mapema sana, kwaio unapoenda kumtongoza tayar alikuwa anajua ulikuwa unamtaka na tayari ana jibu lake, sema anakuchora tuu na kukupima confidence yako.

Which is very different to men, ambao hadi tuonyeshewe ishara nyingi na mwanamke mwenyew, ukiona hadi unahisi mwanamke anakupenda ujue ni yeye mwenyew kaamua kukuoneshea ishara, otherwise huwez jua.

Another thing is ni rahic sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume na kumpata, sisi wenyew tunajijua broo, mfano siku ya leo hii wewe na mwanamke mshindane nani atakuwa wa kwanza kupata mtu wa kulala nae apart from wapenzi wenu, we unadhani nani itakuwa kwake rahic??
 
You're very wrong.

Nikwambie kitu broo, mwanamke anakusoma haraka sana kabla hata hujafikisha maneno 100 ashakujua wewe ni mwanaume wa aina gani, huo ujasiri unao-onyesha mbele yake ni fake au we ni jasiri kweli, anajua kabisa huyu ananitaka sema anazunguka tuu, yaan hayo mambo hayo mambo anayajua mapema sana, kwaio unapoenda kumtongoza tayar alikuwa anajua ulikuwa unamtaka na tayari ana jibu lake, sema anakuchora tuu na kukupima confidence yako.

Which is very different to men, ambao hadi tuonyeshewe ishara nyingi na mwanamke mwenyew, ukiona hadi unahisi mwanamke anakupenda ujue ni yeye mwenyew kaamua kukuoneshea ishara, otherwise huwez jua.

Another thing is ni rahic sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume na kumpata, sisi wenyew tunajijua broo, mfano siku ya leo hii wewe na mwanamke mshindane nani atakuwa wa kwanza kupata mtu wa kulala nae apart from wapenzi wenu, we unadhani nani itakuwa kwake rahic??
Mwanaume utaacha milango wazi!(Hola).
 
Back
Top Bottom