Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

I second this πŸ‘†πŸ»βœŠπŸ»
 
Usipohangaikia wenzako watakusaidia😌
Women love quantity time
Hii kauli huwa naiskia saana ila mwanaume anayeizingatia mim nnamuon kama anasaliti baba zetu. Binafsi mwanamke akiniambia kauli. Kama hiyo siwez mpiga ila lazima aombe poo au atasepa mwenyew coz ntamfanya kitu ambacho kitamfanya aone aibu hata kunivulia chup.
 
Acheni ujinga
Weka mali zote kwa jina la mama yako au mtoto

Bora utapeliwe na mama yako mzazi kuliko mwanamke uliekutana nae ukubwani πŸ˜€
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Ata kunichukua tuende wote hamna
I've missed you ,beb,πŸ’žπŸ˜š
Ondoa wasi kwasababu nimerudi kwasasa, Huwezi kuwa alone tena πŸ₯°

Next time tutakwenda wote, Other man wasije wakakuchukua bure πŸ’•
 
Acheni ujinga
Weka mali zote kwa jina la mama yako au mtoto

Bora utapeliwe na mama yako mzazi kuliko mwanamke uliekutana nae ukubwani πŸ˜€
Aisee Mimi sitatapeliwa mbona tutamalizana kininja ninja tu
 
Ondoa wasi kwasababu nimerudi kwasasa, Huwezi kuwa alone tena πŸ₯°

Next time tutakwenda wote, Other man wasije wakakuchukua bure πŸ’•
πŸ˜šπŸ’žIkawe heri kabisa kipenzi
Hamna wa kuibiwa hapa
 
Yupi ambae hana uhitaji na yupi ana uhitaji wa queen treatment?
Traditional feminine and Submissive woman deserves all from a man.
Kipi kimelete tofauti kati ya wanawake wa sasa na wa zama tukilenga katika (uwife material)?
Bibi zetu Utii,, Kunyenyekea na Kumuhudumia Mume Ilikuwa ni Proud.

Now wa sasa hayo yote wanatafsiri kama Utumwa Na Ukandamizaji na kinyume na Haki.

Bibi zetu ndoa ilikuwa Ni fungamano la Maisha ilikuwa ni heshima kwake.

Wa sasa Ndoa kwao aidha iwe ajira au Asione umuhimu wa ndoa kabisaaa.
Me naona mwanaume ambae hawajibiki ipasavyo atajiona mtumwa siku zote
Utumwa is Unnatural and Responsibilities are Natural.

Ndo za sasa Hazitaki mwanaume awe responsible zinataka mwanaume awe mtumwa.
Ufeminist ni sawa sawa na toxicity
Exactly. Thanks.
Mwanaume Gani akubali ufanye biashara ? Labda an intelligent man ila hwa wa kupita ni wanasema uzae ulee watoto
Choose the best.

But Note down Mwanamke kupambania Maisha sio Jukumu lake la Kwanza. (Hasa akiwa ndani ya ndoa).
 
Traditional feminine and Submissive woman deserves all from a man.

Bibi zetu Utii,, Kunyenyekea na Kumuhudumia Mume Ilikuwa ni Proud.
Kizazi hiki tulishasshau ikiwemo na mimi
Now wa sasa hayo yote wanatafsiri kama Utumwa Na Ukandamizaji na kinyume na Haki.

Bibi zetu ndoa ilikuwa Ni fungamano la Maisha ilikuwa ni heshima kwake.
Nowadays ni biashara
Wa sasa Ndoa kwao aidha iwe ajira au Asione umuhimu wa ndoa kabisaaa.
Hamna mtu ambae anakuwa tayari kusettle
Utumwa is Unnatural and Responsibilities are Natural.
πŸ’―
Ndo za sasa Hazitaki mwanaume awe responsible zinataka mwanaume awe mtumwa.
Hii point Kila jinsia inavutaga upande wake tu
Exactly. Thanks.

Choose the best.
And I'll choose right,
But Note down Mwanamke kupambania Maisha sio Jukumu lake la Kwanza. (Hasa akiwa ndani ya ndoa).
Ndo maana nasema ndoa ni utumwa
Kwanini nisipambanie maisha. Nikiwa kwenye ndoa
 
Nadhani inanitosha kuendelea kuandika.

Ahsante kwa muda wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…