And a woman should always be there if necessary.Not leaving your responsibility but creating time for your woman
But you can handle both:;woman and responsibilities
π―And a woman should always be there if necessary.
Thanks for sharing same Mindset.
It's yor babe π
That mindset, I know it's you - Love π₯°It's yor babe π
I thought you couldn't recognize meπ€That mindset, I know it's you - Love π₯°
I second this ππ»βπ»Mkuu ujue kuna kitu wanaume tunakipata kama mwendelezo wa seriez tuu ktk move ya maisha ya kutisha ya mwanaume. Hii move itaendelea mpaka hapo Yesu atakapo rudi kwakuwa wanaume tumeshikwa kimfumo tena ktk ustad wa hali ya juu. Hivi unafikiri kwanin sis tunaweza kuona ugumu wa kuish na mwanamke lakin hatuoni wala kuamin kama baba zetu walilizwa na mama zetu kiasi kwamba ndo sababu za watu wengi hawana baba zao?. Badala yake kila siku nikusfia wamama na kuwadharau, kuwa chukia na kuwatenga baba zetu. Ngoja tule jeuri yetu kwa namna flan maana wengi wetu tumekuwa disconnected na baba zetu hivyo hatuna msingi wa uelewa wa juu sura za wanawake.
Hii kauli huwa naiskia saana ila mwanaume anayeizingatia mim nnamuon kama anasaliti baba zetu. Binafsi mwanamke akiniambia kauli. Kama hiyo siwez mpiga ila lazima aombe poo au atasepa mwenyew coz ntamfanya kitu ambacho kitamfanya aone aibu hata kunivulia chup.Usipohangaikia wenzako watakusaidiaπ
Women love quantity time
That's isn't easy, not recognizing someone of yours? Never π€I thought you couldn't recognize meπ€
I miss my manπ₯²πThat's isn't easy, not recognizing someone of yours? Never π€
Acheni ujingaImagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..
Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.
Mali ulizozipata kutokana na kazi.
Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..
Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..
Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako
Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Nilikua nakata mkonge, Tanga πI miss my manπ₯²π
Aiseeeππ
Ivi ulinipa talaka?π€£
ππAta kunichukua tuende wote hamnaNilikua nakata mkonge, Tanga π
Nimerudi sasa my Super woman π
Ondoa wasi kwasababu nimerudi kwasasa, Huwezi kuwa alone tena π₯°ππAta kunichukua tuende wote hamna
I've missed you ,beb,ππ
ππIkawe heri kabisa kipenziOndoa wasi kwasababu nimerudi kwasasa, Huwezi kuwa alone tena π₯°
Next time tutakwenda wote, Other man wasije wakakuchukua bure π
Traditional feminine and Submissive woman deserves all from a man.Yupi ambae hana uhitaji na yupi ana uhitaji wa queen treatment?
Bibi zetu Utii,, Kunyenyekea na Kumuhudumia Mume Ilikuwa ni Proud.Kipi kimelete tofauti kati ya wanawake wa sasa na wa zama tukilenga katika (uwife material)?
Utumwa is Unnatural and Responsibilities are Natural.Me naona mwanaume ambae hawajibiki ipasavyo atajiona mtumwa siku zote
Exactly. Thanks.Ufeminist ni sawa sawa na toxicity
Choose the best.Mwanaume Gani akubali ufanye biashara ? Labda an intelligent man ila hwa wa kupita ni wanasema uzae ulee watoto
Kizazi hiki tulishasshau ikiwemo na mimiTraditional feminine and Submissive woman deserves all from a man.
Bibi zetu Utii,, Kunyenyekea na Kumuhudumia Mume Ilikuwa ni Proud.
Nowadays ni biasharaNow wa sasa hayo yote wanatafsiri kama Utumwa Na Ukandamizaji na kinyume na Haki.
Bibi zetu ndoa ilikuwa Ni fungamano la Maisha ilikuwa ni heshima kwake.
Hamna mtu ambae anakuwa tayari kusettleWa sasa Ndoa kwao aidha iwe ajira au Asione umuhimu wa ndoa kabisaaa.
π―Utumwa is Unnatural and Responsibilities are Natural.
Hii point Kila jinsia inavutaga upande wake tuNdo za sasa Hazitaki mwanaume awe responsible zinataka mwanaume awe mtumwa.
And I'll choose right,Exactly. Thanks.
Choose the best.
Ndo maana nasema ndoa ni utumwaBut Note down Mwanamke kupambania Maisha sio Jukumu lake la Kwanza. (Hasa akiwa ndani ya ndoa).
Nadhani inanitosha kuendelea kuandika.Kizazi hiki tulishasshau ikiwemo na mimi
Nowadays ni biashara
Hamna mtu ambae anakuwa tayari kusettle
π―
Hii point Kila jinsia inavutaga upande wake tu
And I'll choose right,
Ndo maana nasema ndoa ni utumwa
Kwanini nisipambanie maisha. Nikiwa kwenye ndoa
πBora aiseeeNadhani inanitosha kuendelea kuandika.
Ahsante kwa muda wako.