Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ Msalimie sana mshangazi wakosio kama unavyofikiri..๐
Kasome tuition kwa SKUDUWeekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Nasikiaga hivyo. Bill ya mafuta juu yake.bado,kwani wanatoaga na gari..?๐
Sasa hapo mbona umeolewaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanaume anaolewaje
Aolewe mara ngapi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya yote ila usije ukaolewa tu
Mtihani.Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Hizi za neti neti napenda sana aiseee huu ndo ugonjwa wangu...mvua pichu, hongera kwako.. hayo nayo ni mafanikio.
View attachment 2983176
Unakutana na multiple mom.Mda mwngn bora single mom kuliko mshangazi
Tanzania hii hii?Tanzania maisha ni mepesi sana
vipi ushapata mshangazi au bado gundu limekuandama?Hizi za neti neti napenda sana aiseee huu ndo ugonjwa wangu...
Huwa namwambia mtu kabisa ukitaka kunichanganya vaa hii...
Hv kwann mna-attach mapenzi na pesa? Pesa hua ipo tu paleUnakutana na multiple mom.
Huyo anakua ni mshangazi flani wa kishua oiiii oiiii mkuuu
Sina gundu mkuu..vipi ushapata mshangazi au bado gundu limekuandama?
Huwezi elewa mkuu.Hv kwann mna-attach mapenzi na pesa? Pesa hua ipo tu pale