kuwa na mshangazi alafu wewe mwanaume ndo unayemuhudumia, huyo hana sifa na mshangazi.Sina gundu mkuu..
Ila ni vile nataka mshangazi wa dasalam mkuu huku naona nishapazoea wengi wanakua bize sasa si unajua harakati za serikal zishaanza
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ujanielewa na hatuwezi elewana...kuwa na mshangazi alafu wewe mwanaume ndo unayemuhudumia, huyo hana sifa na mshangazi.
ni MCHEPUKO
ni kwamba unaona ni watamu au kuna kingine cha ziada?😂😂😂😂😂😂😂😂 Ujanielewa na hatuwezi elewana...
Mpaka uwe kwenye bloodline ya mashangazi mkuu
We endelea na hiyo michezo, ukija stuka umevishwa kanga kiunonimwanaume anaolewaje
vijana wanataka mtelemko mwshowe wanakua mtelezoAolewe mara ngapi sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vingi vya ziada mkuu...ni kwamba unaona ni watamu au kuna kingine cha ziada?
mimi nikadhani mishangazi mnaifuata kwa ajili ya kutafuta unafuu wa maisha na kupwepa mizinga?Kuna vingi vya ziada mkuu...
Imagine kwa msoto wa huku DOM alafu unapata dy/dx kama hyo
HongeraWeekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Kwani hawezi kuvaa vyeo vyote viwili kwa mkupuo mabegani mwake?Mda mwngn bora single mom kuliko mshangazi
Sasa unazani kuna lingine zaidi ya hilo mkuu...mimi nikadhani mishangazi mnaifuata kwa ajili ya kutafuta unafuu wa maisha na kupwepa mizinga?
Ahahahhaha kamanda ukawa una nyota mbili canal au 😂😂😂😂😂Kwani hawezi kuvaa vyeo vyote viwili kwa mkupuo mabegani mwake?
ok nmekuelewa, mazoea yanaathiri saikolojia.Sasa unazani kuna lingine zaidi ya hilo mkuu...
Japo wengine ishakua kama pigment kwenye blood kupenda hao watu
AiseeWeekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!.
yeye akilewa ni amapiano Tu!.
atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha macho!!.
ye anajua mi najua lakini wapi narukaruka tu nisionekane hamna kitu,hii inakuwa ni changamoto sana kwangu!.. hichi kizazi si wakubwa si wadogo wamevurugwa!.
nilichoamua ni kwenda nae jino kwa jino komamanga wa watu najinoa nami nijue kucheza hizo amapiano nisionekane zwazwa!
Ety rika lote.....ok nmekuelewa, mazoea yanaathiri saikolojia.
mimi rika lolote naruka nalo, hao mashangazi ndo wamekuwa warahisi mno kuwapata japo kiuchumi wako chini kwangu.
sasa hiyo jamii ya single mom na mishangazi si ndo imejaa sana uku mitaani?Ety rika lote.....
Mi sikanyagi rika langu sijui kwa nini yaani nimekua addicted sana na hawa single mom na mashangazi sana sana.
Na ilivyo bana Mungu anakupa unachostahili na sio unachokitaka
InawezekanaKwani hawezi kuvaa vyeo vyote viwili kwa mkupuo mabegani mwake?
Nipo smart kichwani naelewa..sasa hiyo jamii ya single mom na mishangazi si ndo imejaa sana uku mitaani?
ni wewe mwenyewe kuamua kujichagulia unataka wa namna gani.
Tahadhari: ukiwa kama kijana yanapoteza muda na kulemaza akili, utashangaa unagonga 4th flow huna mtoto, nyumba hata bank acc. haifiki 100k.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi unayoo dogo.Mpaka leo nashindwa kurudi chuo kwa sababu yao...
Na naweza nika PEX hi semister aiseeeeeee hawa watu wana vitu sonspecial
Umeolewa weyeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajua kuolewa wewe..[emoji23]
Haswaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vijana wanataka mtelemko mwshowe wanakua mtelezo