Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Kuna mzee mmoja namfahamu alikuja kugundua mkewe muathirika akiwa ameshaish naye miaka 15 kwenye ndoa.

alipoenda kupima yy akawa fresh, Basi baada ya vikao vya familia wakaamua waachane akamwachia yule mama Kila kitu yy akaenda kuanza upya, akapanga na kuoa mwanamke mwingine

Ikapta mda, Mzee akamrudia tena yule mama tena ad akazaa nae, hapa ndipo nilipo yaheshimu mapenzi, Power of mbunye[emoji3]

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita.

Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita

Demu kapima Leo kaambiwa anao.

Mazee hofu niliyokuwa nayo nikama nilipiga peku, hata msosi sili kwa raha!!!

Wenge baya sana
Ndomu zinasaidia asilimia 60% tu. asilimia 40% unaupata. hapo ulipo kuna uwezekano mkubwa sana umeathirika. pole sana.
 
ndomu zinasaidia asilimia 60% tu. asilimia 40% unaupata. hapo ulipo kuna uwezekano mkubwa sana umeathirika. pole sana.
Kutahiriwa kunazuia 60% je kuvaa ndomu itakuwa ngapi...... Please kama hujui relax kunywa maji ya vuguvugu
 
Kutahiriwa kunazuia 60% je kuvaa ndomu itakuwa ngapi...... Please kama hujui relax kunywa maji ya vuguvugu
Ni kudanganyana tu kufikiri kinachoweza kuambukizwa ni kupigia kichwa unachofunika hadi pale katikati, wakati majimaji ya uke yanasambaa hadi kwenye shina ambako kuna nywele au vishina vya nywele ambavyo ni rahisi kutikiswa vikachubuka. kumbuka hakuna ngono ya kistaarabu, ukishaanza utamaliza mimaji ya uchi imetapakaa hadi kwenye pumbbu. huko nako unaweka ndomu? jamaa akapime aanze kutumia dawa, siku ingine ndio atajifunza kwamba uzinzi haulipi.

Ni sahihi kutahiriwa ni 60% lakini usidanganyike ukafikiri kwenye kuambukizwa ni 1+1=2 wakati mwingine inaweza kuwa 11.
 
Nakushauri anza kuandika wosia usijeacha mali zikagombaniwa kama mzee mengi.
 
Ni kudanganyana tu kufikiri kinachoweza kuambukizwa ni kupigia kichwa unachofunika hadi pale katikati, wakati majimaji ya uke yanasambaa hadi kwenye shina ambako kuna nywele au vishina vya nywele ambavyo ni rahisi kutikiswa vikachubuka. kumbuka hakuna ngono ya kistaarabu, ukishaanza utamaliza mimaji ya uchi imetapakaa hadi kwenye pumbbu. huko nako unaweka ndomu? jamaa akapime aanze kutumia dawa, siku ingine ndio atajifunza kwamba uzinzi haulipi.

Ni sahihi kutahiriwa ni 60% lakini usidanganyike ukafikiri kwenye kuambukizwa ni 1+1=2 wakati mwingine inaweza kuwa 11.
Bado hujui kitu mzee... But thank kwa mtazamo wako!
 
Back
Top Bottom