Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
[emoji23]Anataka umpe figo huyo.
Ukipona atarudi kule kule,
Kamavipi mwambie m nauza nimechoka kinyama(economically) laki 5 anachukua[emoji848]
Kwa hospital ni sawaNenda hospitali kamjulie hali. Mengine utaamua mwenyewe.
Anatumia bimaNenda hospital umjulie hali na umsaidie matibabu kama uwezo unao ila usifanye kitu chochote Cha mahusiano kwake, akijaribu kukumbusha, kuwa na moyo mkavu, usionyeshe wala kumuambia kuwa uliumizwa kwa vyovyote na yeye.
Ila usigawe figo wala kitu chochote mwache avune alichokipanda.
Sioni sababu ya kuendelea kuwasiliana nae, move on na maisha yako, km vipi akafia mikononi mwa ndugu zakeHabari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.
So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.
Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.
Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Kwa asengaAchana na wanawake..njoo tunywe bia hapa tabata bima. Hao watu chemistry yao ni ngumu sana,possibly haumwi ila tu coz hana buzi la kuchuna ndio ameamua kukuigizia hiyo sinema.
Hana ndugu wa kumtolea Figo mkuu? Maana hiyo kesi isikiage kwa watu ila isiwe wewe au ndugu yako. Kuna ndugu yetu alipata hiyo kitu zilitutoka million 100 India.Habari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.
So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.
Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.
Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Uko serious ? Nakutumia namba DMIf she is really in needing kidney please just informing her I'm ready For that .
I'm 26 yrs old
I'm non Alcohol
Hii nchi imejaa ujinga we acha tuMwache afe tu.
Akifa wee utakosa nini
Just Be a MAN.
Afu mnakuaga wajinga qumamaque
No Comm' for 10yrs. Afu unasemaje ww
Wanazidiwa akili hadi na wanyamaHii nchi imejaa ujinga we acha tu
Kwamba Nusu ya Vijana wa Tz ni WajingaHii nchi imejaa ujinga we acha tu
asijisahau akarekodiwaNenda hospitali kamjulie hali. Mengine utaamua mwenyewe.
HatareHabari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.
So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.
Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.
Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Figo Asimpe .. akampe mama yake mzazi au mwanae.Kaka mpe figo, si unampenda?
Hamna kitu kama hicho. Hata kuruka sarakasi hamna?! Faida yake kwake sasa ni ipi? Kuona mgonjwa,ubebelee matunda,hata kojoleo lake hulijui!!!Nenda hospitali kamjulie hali. Mengine utaamua mwenyewe.
Wewe ni boya kama maboya wenine tu. Kuna la kukuweka dilema hapo?Habari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.
So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.
Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.
Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?