Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

Mwache afe tu.
Akifa wee utakosa nini
Just Be a MAN.
Afu mnakuaga wajinga qumamaque
No Comm' for 10yrs. Afu unasemaje ww
 
Nenda hospital umjulie hali na umsaidie matibabu kama uwezo unao ila usifanye kitu chochote Cha mahusiano kwake, akijaribu kukumbusha, kuwa na moyo mkavu, usionyeshe wala kumuambia kuwa uliumizwa kwa vyovyote na yeye.

Ila usigawe figo wala kitu chochote mwache avune alichokipanda.
Anatumia bima
 
Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Sioni sababu ya kuendelea kuwasiliana nae, move on na maisha yako, km vipi akafia mikononi mwa ndugu zake
 
Kuja kuomba tu Ushauri kwa hili inadhihirisha there is something wrong upstairs,huwezi kuwa Okay then ukaja na hoja za kipumbavu kama hii..

Enewei,it's your birthday,you gonna party it!
 
Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Hana ndugu wa kumtolea Figo mkuu? Maana hiyo kesi isikiage kwa watu ila isiwe wewe au ndugu yako. Kuna ndugu yetu alipata hiyo kitu zilitutoka million 100 India.
 
Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Hatare
 
*Sometimes in life you feel the fight is over
And it seems as though the writings on the wall
Superstar, you finally made it
But once your picture becomes tainted
It's what they call
The rise and fall* - Craig David
 
Kaka mpe figo, si unampenda?
Figo Asimpe .. akampe mama yake mzazi au mwanae.

Wanawake hawanaga akili

Wanawake hawanaga shukrani.

Atampa akipona ataendelea na mbanga zake.

Cha kufanya aende tu kumpa pole kiubinadamu.

Awe Rafiki wakati huu wa shida na amwambie ukweli Kwamba hawatokuwa wapenzi na asiruhusu hisia zimtawale.

Tumia Zaidi AKILI sio moyo au hisia zako.
 
Nenda hospitali kamjulie hali. Mengine utaamua mwenyewe.
Hamna kitu kama hicho. Hata kuruka sarakasi hamna?! Faida yake kwake sasa ni ipi? Kuona mgonjwa,ubebelee matunda,hata kojoleo lake hulijui!!!
 
Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Wewe ni boya kama maboya wenine tu. Kuna la kukuweka dilema hapo?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom