Mwanamke niliyezaa nae ananipa majukumu yasiyonihusu

Mwanamke niliyezaa nae ananipa majukumu yasiyonihusu

Hii comment ndio niliyoielewa vzuri, naahidi kumhudumia kadri ninavyoweza. Ahsantee Mkuu kwa Muda wako wa kunisaidia mawazo.
Pamoja sana mkuu. Nimekujibu from experience nimewahi pitia same situation unayopitia!
 
Habari za wakati huu wapendwa na wanajamvi wenzangu wa MMU. Poleni kwa kazi na kwa wale walioenda kusali hongereni kwa ibada.
Nianze mkasa wangu juu ya huyu Baby mama wangu, Hapa juzi kati (wiki iliyopita) mwanadada aliyedai kuwa anaujauzito wangu na kunikabidhi kulea, alijifungua salama na Mtoto wa Kiume Mungu akajalia.
Anaishi kwao na mimi naishi kwangu, mwanzo alitaka aje akae nami tulee mimba pamoja nilikataa kwa sababu zangu binafsi. So ikabidi akae kwao tu, sasa tangu amejifungua nimekuwa nikituma pesa kwa ajili ya mahitaji ya msingi kwaajili ya mtoto na mama mtoto ukizingatia mtoto bado anategemea kila kitu kutoka kwa mama yake.
Kuna baadhi ya mahitaji ananitajia kimsingi mimi nayaona kama sio sahihi mimi kuhudumia kwa maana mahusiano mimi na yeye yaliisha na mimi nikawa nime move on na yeye akawa ame move mwanzoni kabisa mwa ujauzito. Sasa wakati kuna majukumu mengine naona kama napewa mzigo usio wangu, kwa mfano ananiambia nimlipie kodi ya nyumba akaishi kwake, ikiharibika simu hela ya matengenezo anapiga simu kwangu na niliwahi mpatia mara moja akatengeneza ila naona kama anazidi kuleta mazoea anataka nimpatie mtaji au nimfungulie biashara ili asinisumbue ishu ya matumizi ya mtoto [emoji3064], nilikataa nikamwambia nitatoa hela ya matumizi kila mwisho wa mwezi ila sio kukufungulia biashara.
Tokea hapo, ikitokea amepiga simu na nikawa sijapokea labda ikawa iko mbali au sikusikia anatuma mimeseji ya ajabu... Mara naona unakatika mauno juu ya huyo malaya wako ila simu ya mwanamke anayekulelea mwanao hupokei” sikujibu lolote ni nyingi tu mara unatumia pesa na malaya wako ila hela ya mtoto hutoi.! Pesa natoa ila yeye anaiingiza kwenye matumizi yake binafsi so namimi nakaza.
Sasa nimekuja kwenu, wanaume wenzangu ambao tunaohudumia hawa akina mama mnafanyaje ili kufanya hili suala la malezi kuwa rahisi na kupunguza mivutano na huyu mwana mama (Baby mama)
Naomba kuwasilisha, naombeni michango yenu wakuu
ana mtoto mwingine ukitoa huyo wa kwako?
 
Habari za wakati huu wapendwa na wanajamvi wenzangu wa MMU. Poleni kwa kazi na kwa wale walioenda kusali hongereni kwa ibada.
Nianze mkasa wangu juu ya huyu Baby mama wangu, Hapa juzi kati (wiki iliyopita) mwanadada aliyedai kuwa anaujauzito wangu na kunikabidhi kulea, alijifungua salama na Mtoto wa Kiume Mungu akajalia.
Anaishi kwao na mimi naishi kwangu, mwanzo alitaka aje akae nami tulee mimba pamoja nilikataa kwa sababu zangu binafsi. So ikabidi akae kwao tu, sasa tangu amejifungua nimekuwa nikituma pesa kwa ajili ya mahitaji ya msingi kwaajili ya mtoto na mama mtoto ukizingatia mtoto bado anategemea kila kitu kutoka kwa mama yake.
Kuna baadhi ya mahitaji ananitajia kimsingi mimi nayaona kama sio sahihi mimi kuhudumia kwa maana mahusiano mimi na yeye yaliisha na mimi nikawa nime move on na yeye akawa ame move mwanzoni kabisa mwa ujauzito. Sasa wakati kuna majukumu mengine naona kama napewa mzigo usio wangu, kwa mfano ananiambia nimlipie kodi ya nyumba akaishi kwake, ikiharibika simu hela ya matengenezo anapiga simu kwangu na niliwahi mpatia mara moja akatengeneza ila naona kama anazidi kuleta mazoea anataka nimpatie mtaji au nimfungulie biashara ili asinisumbue ishu ya matumizi ya mtoto [emoji3064], nilikataa nikamwambia nitatoa hela ya matumizi kila mwisho wa mwezi ila sio kukufungulia biashara.
Tokea hapo, ikitokea amepiga simu na nikawa sijapokea labda ikawa iko mbali au sikusikia anatuma mimeseji ya ajabu... Mara naona unakatika mauno juu ya huyo malaya wako ila simu ya mwanamke anayekulelea mwanao hupokei” sikujibu lolote ni nyingi tu mara unatumia pesa na malaya wako ila hela ya mtoto hutoi.! Pesa natoa ila yeye anaiingiza kwenye matumizi yake binafsi so namimi nakaza.
Sasa nimekuja kwenu, wanaume wenzangu ambao tunaohudumia hawa akina mama mnafanyaje ili kufanya hili suala la malezi kuwa rahisi na kupunguza mivutano na huyu mwana mama (Baby mama)
Naomba kuwasilisha, naombeni michango yenu wakuu
Mkuu kuna wanawake wengine si wa kuzaa nao, ndiyo maana yabidi kutumia condom kama hauko tayari kuzaa ama kuoa.....unajiletea mateso ya moyo bure na kujipunguzia siku za kuishi duniani. Si unafahamu hapa duniani tunaishi na majini pia, tena wako wengi tu hapa Dar. Mwingine yule namuona anapita hapa barabarani, ngoja nikamsalimie.
 
Kama mama mtoto hauna mahusiano naye tena basi wewe unahusika na vitu 2 tuu:

1. Chakula cha mama(food)
2. Mahitaji ya mtoto.

Ni hayo tuu, narudia tena ni hayo tuu kulingana na sheria za ustawi wa jamii.

Mambo ya nyumba,biashara/kazi HAYAKUHUSU KISHERIA ila kama uko vizuri ukaamua kumsaidia kibinaadamu hapo sawa ila sio yeye aanze kukuforce.
Unforgetable
 
napitia comments za wadau lakini naona kuna sehem wanfeli hapo kama ulimove on ndio akaja na inshu ya mimba ndo mwanzo wakuanza kusitasita kufanya malezi kwa bibie sababu hujaamini kama kweli n wako au laah!
pia itoshe kusema huyo sio mtot wako kama unafanya malezi lakin yeye anafanyakwa manufaa akee
na pia kama akikutafuta analeta makasiriko yake hapo hapo utkuta sio dam ako sema anakunanga ili apige mawe yako kwa mwanamke ulie zaa nae hawez kua na kauli hizo pale unapo kua hupokei sim ake co anajua unatafuta kwa ajili ya mtoto either angekua ndo anamimba ila kama tyr kajifungua hio ni mchongo teena kama hujamuona mtot hata kwa picha broo hapo unapigwa mchana kweupe kmaa ni pesa ulimpa kwa ajili ya biashara ela kaisha kura anataka zinginge
chungaa wanawake sio watu wa kawaida
Kama hata mtoto hajamuona usikute hata mtoto hayupo ni siasa tu za ulimwengu😂.

hii kazi ngumu
 
Ila hujainisha tatizo lililokufanya usitake kuishi nae. ..ninachoona baby mama anachokitaka kutoka kwako ni attention yako tu and she's scared atakupoteza. Unless awe na issue ambayo alishawahi kukufanyia rather than that she's desparate for your attention.

NB: Sijui ataolewa na nani kama mzazi mwenzie hamtaki.
 
Habari za wakati huu wapendwa na wanajamvi wenzangu wa MMU. Poleni kwa kazi na kwa wale walioenda kusali hongereni kwa ibada.
Nianze mkasa wangu juu ya huyu Baby mama wangu, Hapa juzi kati (wiki iliyopita) mwanadada aliyedai kuwa anaujauzito wangu na kunikabidhi kulea, alijifungua salama na Mtoto wa Kiume Mungu akajalia.
Anaishi kwao na mimi naishi kwangu, mwanzo alitaka aje akae nami tulee mimba pamoja nilikataa kwa sababu zangu binafsi. So ikabidi akae kwao tu, sasa tangu amejifungua nimekuwa nikituma pesa kwa ajili ya mahitaji ya msingi kwaajili ya mtoto na mama mtoto ukizingatia mtoto bado anategemea kila kitu kutoka kwa mama yake.
Kuna baadhi ya mahitaji ananitajia kimsingi mimi nayaona kama sio sahihi mimi kuhudumia kwa maana mahusiano mimi na yeye yaliisha na mimi nikawa nime move on na yeye akawa ame move mwanzoni kabisa mwa ujauzito. Sasa wakati kuna majukumu mengine naona kama napewa mzigo usio wangu, kwa mfano ananiambia nimlipie kodi ya nyumba akaishi kwake, ikiharibika simu hela ya matengenezo anapiga simu kwangu na niliwahi mpatia mara moja akatengeneza ila naona kama anazidi kuleta mazoea anataka nimpatie mtaji au nimfungulie biashara ili asinisumbue ishu ya matumizi ya mtoto [emoji3064], nilikataa nikamwambia nitatoa hela ya matumizi kila mwisho wa mwezi ila sio kukufungulia biashara.
Tokea hapo, ikitokea amepiga simu na nikawa sijapokea labda ikawa iko mbali au sikusikia anatuma mimeseji ya ajabu... Mara naona unakatika mauno juu ya huyo malaya wako ila simu ya mwanamke anayekulelea mwanao hupokei” sikujibu lolote ni nyingi tu mara unatumia pesa na malaya wako ila hela ya mtoto hutoi.! Pesa natoa ila yeye anaiingiza kwenye matumizi yake binafsi so namimi nakaza.
Sasa nimekuja kwenu, wanaume wenzangu ambao tunaohudumia hawa akina mama mnafanyaje ili kufanya hili suala la malezi kuwa rahisi na kupunguza mivutano na huyu mwana mama (Baby mama)
Naomba kuwasilisha, naombeni michango yenu wakuu
Chukua mtoto peleka kwa mama yako, kama huwezi lipia bills za matumizi ya mtoto usimpe hela. Kumbuka pia mama aliyejifungua huwa wana ukichaa fulani (kichaa cha mimba).
 
Chukua mtoto peleka kwa mama yako, kama huwezi lipia bills za matumizi ya mtoto usimpe hela. Kumbuka pia mama aliyejifungua huwa wana ukichaa fulani (kichaa cha mimba).

Shida sina mama, alishatangulia mbele za Haki. Kuna wadau wamenishauri nijaribu kuhudumia kadri ninavyoweza na pia nijaribu kucheza na akili za huyu mama mtoto.
 
Back
Top Bottom