Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Usikubali kupelekeshwa kizembe.
Kwanza je, una uhakika huyo mtoto ni wako?
Kama mtoto ni wako lazima mgawane majukumu, sio mzigo wote wa kulea anakuletea wewe. Yaani mama anataka pesa za kununua na kutengeneza simu, vocha, nguo za mama, saloon, mtaji wa biashara nk kisa nimezaa naye! Huo ndio ujinga wa single mothers wengi, wanatumia mtoto kama mtaji wa kuishi mjini.
Ningekuwa ni mimi ningeweka msimamo mmoja tu, mama alee mimba yake na mtoto mchanga kwa gharama zake mpaka mtoto akue na kujitambua (labda miaka saba), baada ya hapo anipe mtoto wangu nimlee mimi mwenyewe mpaka atakapokuwa mtu mzima. Anayekaa na mtoto, ndiye anayelea na ndiye analipa matumizi. Tofauti na hapo, toka mtoto anazaliwa mpaka anakuwa mtu mzima tunagawana gharama za kumtunza kwa 50% kwa 50%. Hiyo ndio maana ya haki sawa.
Kwanza je, una uhakika huyo mtoto ni wako?
Kama mtoto ni wako lazima mgawane majukumu, sio mzigo wote wa kulea anakuletea wewe. Yaani mama anataka pesa za kununua na kutengeneza simu, vocha, nguo za mama, saloon, mtaji wa biashara nk kisa nimezaa naye! Huo ndio ujinga wa single mothers wengi, wanatumia mtoto kama mtaji wa kuishi mjini.
Ningekuwa ni mimi ningeweka msimamo mmoja tu, mama alee mimba yake na mtoto mchanga kwa gharama zake mpaka mtoto akue na kujitambua (labda miaka saba), baada ya hapo anipe mtoto wangu nimlee mimi mwenyewe mpaka atakapokuwa mtu mzima. Anayekaa na mtoto, ndiye anayelea na ndiye analipa matumizi. Tofauti na hapo, toka mtoto anazaliwa mpaka anakuwa mtu mzima tunagawana gharama za kumtunza kwa 50% kwa 50%. Hiyo ndio maana ya haki sawa.