Mwanamke niliyezaa nae ananipa majukumu yasiyonihusu

Usikubali kupelekeshwa kizembe.
Kwanza je, una uhakika huyo mtoto ni wako?
Kama mtoto ni wako lazima mgawane majukumu, sio mzigo wote wa kulea anakuletea wewe. Yaani mama anataka pesa za kununua na kutengeneza simu, vocha, nguo za mama, saloon, mtaji wa biashara nk kisa nimezaa naye! Huo ndio ujinga wa single mothers wengi, wanatumia mtoto kama mtaji wa kuishi mjini.

Ningekuwa ni mimi ningeweka msimamo mmoja tu, mama alee mimba yake na mtoto mchanga kwa gharama zake mpaka mtoto akue na kujitambua (labda miaka saba), baada ya hapo anipe mtoto wangu nimlee mimi mwenyewe mpaka atakapokuwa mtu mzima. Anayekaa na mtoto, ndiye anayelea na ndiye analipa matumizi. Tofauti na hapo, toka mtoto anazaliwa mpaka anakuwa mtu mzima tunagawana gharama za kumtunza kwa 50% kwa 50%. Hiyo ndio maana ya haki sawa.
 

Mkuu lipa kodi ya nyumba ni sehemu ya majukumu yako kwake.
Unategemea mtoto aishi nae wapo

Kama mtu amekuzalia mtoto kwanini hata husitoe ka shukrani kwa kumfungulia biashara.

Acha hzo bro.
Kulea si mchezo, wewe huwez
 
Naona unapigilia msumari..! Ila kusema ukweli nahudumia ila biashara na Kumangishia itafanyika kama kuna huo ulazima. Anakaa kwao alfu yeye anajipiga kifua kwenda kupanga so mie nifanye nini.! Mmh

Matusi ya kuishi na mtoto nyumbani kutoka kwa wazaz sio poa

Mpe heka akapange
 
Mkuu lipa kodi ya nyumba ni sehemu ya majukumu yako kwake.
Unategemea mtoto aishi nae wapo

Kama mtu amekuzalia mtoto kwanini hata husitoe ka shukrani kwa kumfungulia biashara.

Acha hzo bro.
Kulea si mchezo, wewe huwez

Biashara ?? You can’t be serious asee. Nimfungulie biashara ni mke wangu au ?? Hapo na mwanaume wake alfu mimi hela yangu ndio iwe inamlisha huyo jamaa ...! Never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…