7.Alikuwa wa mwenzioWanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile:
1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo
2.ulienda kuombewa kwa mchungaji
3.ulitafta mtandaon
4.alikuwa mwalimu wako darasan
5.alikuwa mpangaji
mwenzio
6.alikuchumbia
Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume zenu ambao wamewaoa na mnafamilia kabisa
Mwanamke anapatwa. HapatiWanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile:
1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo
2.ulienda kuombewa kwa mchungaji
3.ulitafta mtandaon
4.alikuwa mwalimu wako darasan
5.alikuwa mpangaji
mwenzio
6.alikuchumbia
Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume zenu ambao wamewaoa na mnafamilia kabisa
Sizani.........sidhaniHuku jukwaani wenye ndoa sizani kama wanazidi wanne!
Humu kila mtu yuko single kama wewe! Hata mie niko single na karibu 90% ya wote humu ndani ni masingle!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah was such an amazing experience ndani ya Ethiopian Airlines.πππNakumbuka babe tulikutana Kwenye β
Hahahah we una kichaa yani pimbi anaweza kuwa kimwali kweli?Yule pimbi wako?