Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Siwezi kusahau siku ile maana imenipatia babe wa ndoto zangu.Yeah was such an amazing experience ndani ya Ethiopian Airlines.😍😍😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kusahau siku ile maana imenipatia babe wa ndoto zangu.Yeah was such an amazing experience ndani ya Ethiopian Airlines.😍😍😍
Yeah baby wangu, ilikuwa kama ndoto yani 😘😘😘Siwezi kusahau siku ile maana imenipatia babe wa ndoto zangu.
Ndio, why not wakati atakuzalia watoto smart?Hahahah we una kichaa yani pimbi anaweza kuwa kimwali kweli?
Sasa ndugu Muuza pombe na kitimoto huyo mtoto wa kiislamu utakua unamlisha pesa ya haram?Yeah baby wangu, ilikuwa kama ndoto yani [emoji8][emoji8][emoji8]
We jamaa kama unaongeaga kama chizi ila nakuelewaga sana..utakuwa chid benz wewe aka geniusSikuzote mkia hauwezi ukatikisa ng'ombe, bali ng'ombe ndie hutikisa mkia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubaya zaidi masingle flan hivi but not availableHuku jukwaani wenye ndoa sizani kama wanazidi wanne!
Humu kila mtu yuko single kama wewe! Hata mie niko single na karibu 90% ya wote humu ndani ni masingle!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mbona kama kweli mkuuWengi humu wameoa majirani zao!! Sijui kwa nini?
Can't believe my eyes🙄, is it you or another Extrovert ? AhaaaYeah baby wangu, ilikuwa kama ndoto yani 😘😘😘
Wapi mlikutana kwenye daladala la Buza huko😀Yeah was such an amazing experience ndani ya Ethiopian Airlines.😍😍😍
Mpe mbinu mwenzakoWatapata
Account yangu ipo hacked boo. Yani dogo mshenzi kweli si kateka simu yangu kaanza utundu dah!Can't believe my eyes🙄, is it you or another Extrovert ? Ahaaa
Hahahahahahah ah wapi mtoto anainjoy huba la kinyamweiyzi! Ashakum si matusi, mtoto nimemkoleza!Sasa ndugu Muuza pombe na kitimoto huyo mtoto wa kiislamu utakua unamlisha pesa ya haram?
Sent From Galaxy S9
Nikweli kabisa chief....We jamaa kama unaongeaga kama chizi ila nakuelewaga sana..utakuwa chid benz wewe aka genius
Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Thats a special case, kwa sasa wacha niendelee kula ujana.Ndio, why not wakati atakuzalia watoto smart?
nimerudi mwenye simu sasa, aje msupu wangu😎? How was ur deiNafatilia comments, wewe ulimpata wapi, au mkeo alikupata wapi?
Yaani babe si kwa funanizi hizi daily, hii sikusamehee😄Account yangu ipo hacked boo. Yani dogo mshenzi kweli si kateka simu yangu kaanza utundu dah!