Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Bebi kumbe hunipendi kiasi hiki jmn😭😭
Yaani babe si kwa funanizi hizi daily, hii sikusamehee😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani babe si kwa funanizi hizi daily, hii sikusamehee😄
Yani ile samehe 7×70 ishazidi aargh, babe gani wewe hutulii, bucha tofauti ila nyama ileile, au umeona tofauti huko?😉Bebi kumbe hunipendi kiasi hiki jmn😭😭
Bebi dogo langu ndio alikuwa anachatisha humu yani muda tu kabla sijasanuka af ndio kameingia balehe basi kana moto sana yani. Kanaparamia kila fursa yani.Yani ile samehe 7×70 ishazidi aargh, babe gani wewe hutulii, bucha tofauti ila nyama ileile, au umeona tofauti huko?😉
Yaani kwa sounds nakuaminia, nimebaki nacheka tu na hasira zishaisha, nimekusamehe babe wangu, huyu dogo huyo awe makini ataua watu kwa presha ujue, na nakuruhusu unipandishe cheo ukitaka usijali😀Bebi dogo langu ndio alikuwa anachatisha humu yani muda tu kabla sijasanuka af ndio kameingia balehe basi kana moto sana yani. Kanaparamia kila fursa yani.
Nimeshakatia makonzi kaache uhuni wa kukamata simu ya braza ake!
Mie wangu ni wewe daima boo, usikonde
Hizi sounds huyo the real wifi hachomoi sijui itakuaje, unaonekana ni mjanja mno wewe😀Bebi dogo langu ndio alikuwa anachatisha humu yani muda tu kabla sijasanuka af ndio kameingia balehe basi kana moto sana yani. Kanaparamia kila fursa yani.
Nimeshakatia makonzi kaache uhuni wa kukamata simu ya braza ake!
Mie wangu ni wewe daima boo, usikonde
🤣🤣🤣🤣🤣 nyts msupuHizi sounds huyo the real wifi hachomoi sijui itakuaje, unaonekana ni mjanja mno wewe😀
Good night rafiki.
Kwa jinsi ulivyo Shibu akasome 😀🤣🤣🤣🤣🤣 nyts msupu
Yan beb wangu hivi sasa dogo yuko karantini anaugulia maumivu ya utosi tu sahivi. Naamini hatarudia tena kuchezea tambo langu my love 🤩🤩🤩!Yaani kwa sounds nakuaminia, nimebaki nacheka tu na hasira zishaisha, nimekusamehe babe wangu, huyu dogo huyo awe makini ataua watu kwa presha ujue, na nakuruhusu unipandishe cheo ukitaka usijali😀
hahaha kwanini sasa?Kwa jinsi ulivyo Shibu akasome 😀
Mjanja sanahahaha kwanini sasa?
Sindio mnapenda lakini ma boys wajanja. Mtu akiwa katulia mnasema he is "So boring" 🤣🤣🤣 ati ni kweli kuna uhalisia? Au maneno tu?Mjanja sana
Inategemea na aina ya ujanja. Mwanaume mjanja kimaisha kwangu napenda ila sio ujanja wa wanawake.Sindio mnapenda lakini ma boys wajanja. Mtu akiwa katulia mnasema he is "So boring" 🤣🤣🤣 ati ni kweli kuna uhalisia? Au maneno tu?
Alinipa tunda kimasiara hatimae ndoa
Muda ndyo huu ni kupeana fursa tu.Nikupata tu muda ukifika hakuna shida
Haha! Huko kwa Bucha tofauti nyama ile ile huwa ni maneno ya faraja tu, Ila ukweli ni kwamba Bucha tofauti nyama tofauti pia japo zote Zina jina moja. Yaani ni kama lugha ya kichaga vile, wote wataitwa wachaga ila kila mmoja atazungumza lugha yake, sijui mmachame, mkibosho Mara Mrombo.Yani ile samehe 7×70 ishazidi aargh, babe gani wewe hutulii, bucha tofauti ila nyama ileile, au umeona tofauti huko?😉
🤣🤣🤣🤣🤣 we unataka awe na ujanja upi sasa?Inategemea na aina ya ujanja. Mwanaume mjanja kimaisha kwangu napenda ila sio ujanja wa wanawake.