Mshamba unakwepa ukweli au unaogopa matokeo?Just this time niamini tafadhali. Fanya utafiti.mbishi kama tui la nazi
mr.tui
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbishi kama tui la nazi
mr.tui
Nimekumbuka kitu. You maybe right😂Mshamba unakwepa ukweli au unaogopa matokeo?Just this time niamini tafadhali. Fanya utafiti.
Unanionaje wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Khee! Hadi wewe unaujua huu msemo.
Nilikuwa najua utakumbuka uliona "ukindu" mahali fulani Kumbukumbu ni muhimu kwenye haya mambo.Nywele za kibantu zinajulikana.Nimekumbuka kitu. You maybe right😂
Sema kwa vile simjui kila mwanamke mbantu, sisemi ni wote
Mbona ndipo ninapoishi mbele kidogo ya uwanja mkubwa wenye nyumba ya Yusuf Kondo.Uswahilini haswa chini ya Unga Limited.Unanionaje wewe🤣
Kuna 'mbishi kama tui la nazi', 'mbishi kama nyama ya t*ko'
Arusha kuna uswahilini
😂 mimi ndio nataka kunyoa hivyoUmesahau
"Zinukie tafadhali"
Shida nini tena?😂 mimi ndio nataka kunyoa hivyo
Mambo mengi🥴Shida nini tena?
Acha utani.Mambo mengi🥴
That’s the realityAcha utani.
mimacho upara/mimacho udang'a🤣That’s the reality
Njoo nikuone kabla hujakata hizo nywele.That’s the reality
Maneno mnatoa wapi?🤣udang'a
Ukiona mwanamke anakataa huu msuko ujue ana chogo
chuga🤣Maneno mnatoa wapi?🤣
Wapi?chuga🤣
Nisamehe bure rafiki,mimi mshamba sanaArusha ndo kulivo
ni slang ya huko