Mshamba unakwepa ukweli au unaogopa matokeo?Just this time niamini tafadhali. Fanya utafiti.mbishi kama tui la nazi
mr.tui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba unakwepa ukweli au unaogopa matokeo?Just this time niamini tafadhali. Fanya utafiti.mbishi kama tui la nazi
mr.tui
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mbishi kama tui la nazi
mr.tui
Nimekumbuka kitu. You maybe right😂Mshamba unakwepa ukweli au unaogopa matokeo?Just this time niamini tafadhali. Fanya utafiti.
Unanionaje wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Khee! Hadi wewe unaujua huu msemo.
Nilikuwa najua utakumbuka uliona "ukindu" mahali fulani Kumbukumbu ni muhimu kwenye haya mambo.Nywele za kibantu zinajulikana.Nimekumbuka kitu. You maybe right😂
Sema kwa vile simjui kila mwanamke mbantu, sisemi ni wote
Mbona ndipo ninapoishi mbele kidogo ya uwanja mkubwa wenye nyumba ya Yusuf Kondo.Uswahilini haswa chini ya Unga Limited.Unanionaje wewe🤣
Kuna 'mbishi kama tui la nazi', 'mbishi kama nyama ya t*ko'
Arusha kuna uswahilini
😂 mimi ndio nataka kunyoa hivyoUmesahau
"Zinukie tafadhali"
Shida nini tena?😂 mimi ndio nataka kunyoa hivyo
Mambo mengi🥴Shida nini tena?
Acha utani.Mambo mengi🥴
That’s the realityAcha utani.
mimacho upara/mimacho udang'a🤣That’s the reality
Njoo nikuone kabla hujakata hizo nywele.That’s the reality
Maneno mnatoa wapi?🤣udang'a
Ukiona mwanamke anakataa huu msuko ujue ana chogo
chuga🤣Maneno mnatoa wapi?🤣
Wapi?chuga🤣
Nisamehe bure rafiki,mimi mshamba sanaArusha ndo kulivo
ni slang ya huko