Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Good morning,Nitengeneze nywele
Nywele sijatoa toka mwaka jana,ufike basi kinyozi wangu😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good morning,Nitengeneze nywele
Mpe baby wako hela ya kusuka acha janja janja wewe😂
Good morningGood morning,
Nywele sijatoa toka mwaka jana,ufike basi kinyozi wangu😋
Tuone nyewele rafiki.Hatimae
Unataka uzione kwenye maandishi sioTuone nyewele rafiki.
That's why I'm stacking on the extra weight😋,nikikutokea now utanisahau labda macho yatakushitua.Good morning
Mimi nipo kwa ajili yako
Hata hapa si mbaya .Unataka uzione kwenye maandishi sio
Nimekubamba na wigi lako kama helmetiCarleen vipi mkuu? Tunatoboa?
Akiziona tu Mr. Inatosha🙏Hata hapa si mbaya .
😅Akiziona tu Mr. Inatosha🙏
Kuanzia leo nataka uwe unaniita LA MAMAmimacho upara/mimacho udang'a🤣
🤣 siwezi kusahau my own ... malizia 😛That's why I'm stacking on the extra weight😋,nikikutokea now utanisahau labda macho yatakushitua.
Hayo ni mawazo yako.. To me akiziona Mr na watu wanaonizunguka it's enough😅
Oh!kumbe tunatakiwa tuone za wenza wetu pekee..!
Mimacho + mimacho🤣 siwezi kusahau my own ... malizia 😛
HaswaaaaMimacho + mimacho
Hahahaa mm short hair january to december.Nimekubamba na wigi lako kama helmeti
wewe ni me, ke au rangirangi?Kuanzia leo nataka uwe unaniita LA MAMA
Pisi kali.wewe ni me, ke au rangirangi?
😂😂 nyoa,, utapendeza kama mimiNataka ninyoe kama wewe😂
nashukuru sijawahi kupata mwanamke mwenye wigi, tungekimbiana asubuhi, huwa yananukaaaa halafu wala hayawapendezi hata kidogo, huwa napenda mwanamke ako na natural hair ziwe ndefu au ziwe zimenyolewa au ziwe zimepunguzwa halafu zikapakwa sijui mnaita dawa sijui kitu gani zikawa nyeusi flani hivi aaagh mbona nitakupa hata shamba la urithi.... siku njemaWakaka wanapendezwa pia na nywele jamani mdada anafunua kibanio chake unywele kama unywele unamwagika.