Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Umeona hii forehead? Ms eyesNywele uturuki unafanya hair transplant bei ndogo tu. Wale wenye makomwe wanaongezewa pia kuficha komwe. Ngoma draw
View attachment 2872536
View attachment 2872537
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona hii forehead? Ms eyesNywele uturuki unafanya hair transplant bei ndogo tu. Wale wenye makomwe wanaongezewa pia kuficha komwe. Ngoma draw
View attachment 2872536
View attachment 2872537
Nilitaka kuongea kuhusu hili nimeona ninyamaze.Nimefulia😂😂😂
Yaani bo stress 🤣🤣🤣🤣🤣 mimi ndio nanyoa hivyo
Ongea tu 🥴Nilitaka kuongea kuhusu hili nimeona ninyamaze.
Haipendezi na wala si mahala pake.Ongea tu 🥴
+ mdomo wa kikorofi,huwa nasema huyu ni anaongea kama chiriku ila una act tu kwangu🤣Mimi sina forehead ila nina kichwa fulani hivi amazing 😂😂😂
Haya, njoo mahala pale.Haipendezi na wala si mahala pake.
Ma shaa Allah, wenye nywele zetu tunazionesha kwa wanao husika tu.Habari wakuu,
Au nasema uongo ndugu zangu...
Mwanamke nywele bana, yaani unywele alafu wa kwake sio fekero.
Mtoto anaachia unywele unashuka mpaka kwa mgongo jamani.
Nywele nzuri safi zinapendeza kwa mwanamke na kivutio kwa mpenzi wake.
Hapa siongelei like wigi la Masanja hahaaa na semea Ile nywele ya asili ambayo Haina dawa alafu imekuwa ndefu.
Kuna wale wanzangu na mie ambao tumeweka dawa, alafu unywele unywele jamani yaani unagusa mgongo.
Acha wivu basi wewe mwanamke mwenye kipilipili, tulia watu waringe na nywele zao.
Achana na marasta muwasho, hapa ni nywele Ile uliyoumbwa nayo.
Wakaka wanapendezwa pia na nywele jamani mdada anafunua kibanio chake unywele kama unywele unamwagika.
Nyie acheni, mwanamke ni nywele na urembo unaongezeka jamani.
Wapewe maua yao wanawake wote ambao wana nywele ndefu za kupendeza.
Vipara kama vya kiumeni uzi hauwahusu...
Yaani huwezi amini😂.+ mdomo wa kikorofi,huwa nasema huyu ni anaongea kama chiriku ila una act tu kwangu🤣
Natumia moja iliyobaki ile nyingine nimeachana nayo tangu nilivyoanguka na simu walichukua walionisaidia ila nimeipata.Haya, njoo mahala pale.
Halafu sioni any kind of notification Whatsapp 😐.
Hapana,labda sauti yangu mbaya ya kukoroma inakuogopesha🤣Yaani huwezi amini😂.
Mimi ni keyboard warrior😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wanavyojiona wamependeza sasa. Ukimjoke ukamwambia Umependeza, utasikia asante. Hahahaaa...!
Upendekeze kwa makati ya Tanga kama sungusungu.. Basi akigeuka na makatini yake namng'ong'a..
Sipendi hawa wanaovaa makatati yaliyotiwa rangi nyeusi. Kwanza wengi ni washerati
Ipi sasa au mimi sina?Natumia moja iliyobaki ile nyingine nimeachana nayo tangu nilivyoanguka na simu walichukua walionisaidia ila nimeipata.
😂 siwezi kuogopa sauti yakoHapana,labda sauti yangu mbaya ya kukoroma inakuogopesha🤣
Unayo,mamaIpi sasa au mimi sina?
Wewe huyu?😂 siwezi kuogopa sauti yako
Ya Tigo?Unayo,mama