Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Picha la wigi la Masanja 😂😂😂
Kiukweli napenda kunyoa sema tu nilikumbuka ninavopendeza nikibana nywele naghairi
 
1 Wakorintho 11:15
Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi.
Nimeelewa vyema.
Kwamba nikiwa na nywele zangu hadi mgongoni kuvaa nguo sio lazima.
Nywele ni mbadala wa nguo au sio ndugu mtumishi?
 
Nimeelewa vyema.
Kwamba nikiwa na nywele zangu hadi mgongoni kuvaa nguo sio lazima.
Nywele ni mbadala wa nguo au sio ndugu mtumishi?
Nimewaza hivyo na mimi anyway lifungulie uzi mama mtumishi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake wenye unywele wenu mnaitwa huku.
 
Mimi mbona ninazo Ile nywele ya kizungu singasinga
Tuanze na swali wewe ni mbantu? Sio wa kuchanganya damu?Mbantu ana nywele fupi haziwezi kufika mgongoni.Ndio maana mawigi ya Brazil yana bei sana na wabantu.
 
Tuanze na swali wewe ni mbantu? Sio wa kuchanganya damu?Mbantu ana nywele fupi haziwezi kufika mgongoni.Ndio maana mawigi ya Brazil yana bei sana na wabantu.
Mimi mix kaskazini na Kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom