Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Kuna maelekezo ya ziada kwani zaidi ya kwenda saloon za kiume? 😂😂
Mimi bila ya kuona picha za makochi siridhiki.Mafundi wa Arusha wamekuwa hatari.
Hivi saloon ipi nzuri?Wacha roho mbaya umeshindwa kunielekeza kwa mafundi wa makochi hata saloon basi hunielekezi?Wewe dada yangu usisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…