Mwanamke nywele bana, yaani unywele halafu wa kwake sio fekero

Picha la wigi la Masanja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kiukweli napenda kunyoa sema tu nilikumbuka ninavopendeza nikibana nywele naghairi
 
1 Wakorintho 11:15
Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi.
Nimeelewa vyema.
Kwamba nikiwa na nywele zangu hadi mgongoni kuvaa nguo sio lazima.
Nywele ni mbadala wa nguo au sio ndugu mtumishi?
 
Nimeelewa vyema.
Kwamba nikiwa na nywele zangu hadi mgongoni kuvaa nguo sio lazima.
Nywele ni mbadala wa nguo au sio ndugu mtumishi?
Nimewaza hivyo na mimi anyway lifungulie uzi mama mtumishi
 
Nimewaza hivyo na mimi anyway lifungulie uzi mama mtumishi
Unataka wafia dini wanipopoe ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…. Watasema nimekosea kutafsiri wakati kiswahili kimenyooka kabisa hapo
 
Unataka wafia dini wanipopoe ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…. Watasema nimekosea kutafsiri wakati kiswahili kimenyooka kabisa hapo
Lifungulie tuu๐Ÿ˜…๐Ÿ‘wafia dini waje watueleweshe
 
Sijui kwanini huwa nashindwa kufungua uzi๐Ÿ˜…
Nikajua ni peke yangu ninaye umwa threadphobia kumbe tupo wengi mama mtumishi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake wenye unywele wenu mnaitwa huku.
 
Mimi mbona ninazo Ile nywele ya kizungu singasinga
Tuanze na swali wewe ni mbantu? Sio wa kuchanganya damu?Mbantu ana nywele fupi haziwezi kufika mgongoni.Ndio maana mawigi ya Brazil yana bei sana na wabantu.
 
Maumivu ni kwa mwanaume anaezitunza wewe kwako burudani tu.
 
Tuanze na swali wewe ni mbantu? Sio wa kuchanganya damu?Mbantu ana nywele fupi haziwezi kufika mgongoni.Ndio maana mawigi ya Brazil yana bei sana na wabantu.
Mimi mix kaskazini na Kanda ya ziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ