Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Si sjabu hata huyo wa kike si mwanao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri fungua akaunti ya jina lake kimya kimya muwekee akiba atakutanayo ukubwani hivyo sumu za Mama yake hazitafanya kaziNaofia asije kumpa maneno ya simu kwamba nmemtelekeza
Account anayo nilisha mfungulia Toka yupo tumboni, naisi ipo pesa ya kumsomesha mpaka chuo na kujiajili mwenyewe, nilikuwa namuwekea laki 400k Kila mwezi mpaka Leo unajuwa itakuwa bei Gani🔥Ushauri fungua akaunti ya jina lake kimya kimya muwekee akiba atakutanayo ukubwani hivyo sumu za Mama yake hazitafanya kazi
Ukishatambua hili kuwa wanawake ni chombo cha starehe tuu basi maishani umesha win
Sasa tatizo liko wapi wakati akikua atajua kwamba ulifanya jukumu lakoAccount anayo nilisha mfungulia Toka yupo tumboni, naisi ipo pesa ya kumsomesha mpaka chuo na kujiajili mwenyewe, nilikuwa namuwekea laki 400k Kila mwezi mpaka Leo unajuwa itakuwa bei Gani🔥
Shida sio pesa shida kuwa karibu na mwanao, nakosa Bondi ya kuwa karibu na mwanangu. Maana ata kipindi Cha nyuma naenda kuonana nae naona kabisa mtoto akiniona analia na kunikumbatia niondoke nae nisimuache,Sasa tatizo liko wapi wakati akikua atajua kwamba ulifanya jukumu lako
Aise wee kiboko...inaelekea unawabimua sana. Evelyn Salt atakufaa weweHata kwenye kitombo usimuonee huruma kabisa binua kila kona
Kwani watu tunashindana nayo mbussusu...sema tunaburudika nayoUwezi shindana na sehemu ulipotokea utakuwa unajisumbua bule 😂😂😂😂🔥
For sure marriage is the biggest scam ever to happen in this vulnerable planet.USIOE
Ndoa ni scam
Acha ufala kwani we ndo wa kwanza kutelekezaNaofia asije kumpa maneno ya simu kwamba nmemtelekeza
Chai acha uongoAccount anayo nilisha mfungulia Toka yupo tumboni, naisi ipo pesa ya kumsomesha mpaka chuo na kujiajili mwenyewe, nilikuwa namuwekea laki 400k Kila mwezi mpaka Leo unajuwa itakuwa bei Gani[emoji91]
Nenda kwenye madawati ya jinsia, kaanzie huko.Lucas mwangomola Naombeni ushauli, nafanyaje kumpata mwanangu
Haya endelea kuinstal Py3 packages kijanaUwezi shindana na sehemu ulipotokea utakuwa unajisumbua bule 😂😂😂😂🔥
www.vanforumtz.com