Huu ni ushuhuda wa kweli. Kuna mwanaume amepata ushindi mahakamani dhidi ya gumegume, ambao inabidi tushirikishane hapa ili wanaume msiogope kuwafukuza wajasiriaNDOA a.k.a "makupe"au magumegume.
Kuna wanasheria uchwara huku kitaa, wanatutisha kuwa ukikaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi 6 basi huyo ni mkeo (yaani umeoa tayari ) na ana haki zote. Nadharia hii si ya kweli, na hata kama ni ya kweli basi haifanyi kazi mahakamani.
Mahakama inatambua uwepo wa ndoa kwa kutumia nyaraka (cheti cha ndoa), siyo kwa ngonjera na hadithi.
Kuna mjuba alijitwisha gumegume miaka 6 iliyopita huku akiwa kajipanga vema kimaisha. Kumbe gumegume halikuwa na mapenzi ya dhati bali lilitaka kufyomonta (syphoning) ukwasi wa mjuba. Baada ya miaka 3 likaanza kutikisa kiberiti. Mwaka wa 6 gumegume likakata kamba (likavunja mahusiano) na likafungua kesi mahakamani kudai mgawo wa mali.
Mjuba aliliruka gumegume mita 100 na kudai kuwa hakuwa mke bali alikuwa hawara tu. Mjuba huyu ameshinda kesi hiyo kwasbb gumegume lilkosa nyaraka (cheti cha ndoa) kuthibitisha uwepo wa ndoa hiyo.
Gumegume limeaibika na kukosa hata senti kutoka kwa mjuba.
Asanteni
Kuna wanasheria uchwara huku kitaa, wanatutisha kuwa ukikaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi 6 basi huyo ni mkeo (yaani umeoa tayari ) na ana haki zote. Nadharia hii si ya kweli, na hata kama ni ya kweli basi haifanyi kazi mahakamani.
Mahakama inatambua uwepo wa ndoa kwa kutumia nyaraka (cheti cha ndoa), siyo kwa ngonjera na hadithi.
Kuna mjuba alijitwisha gumegume miaka 6 iliyopita huku akiwa kajipanga vema kimaisha. Kumbe gumegume halikuwa na mapenzi ya dhati bali lilitaka kufyomonta (syphoning) ukwasi wa mjuba. Baada ya miaka 3 likaanza kutikisa kiberiti. Mwaka wa 6 gumegume likakata kamba (likavunja mahusiano) na likafungua kesi mahakamani kudai mgawo wa mali.
Mjuba aliliruka gumegume mita 100 na kudai kuwa hakuwa mke bali alikuwa hawara tu. Mjuba huyu ameshinda kesi hiyo kwasbb gumegume lilkosa nyaraka (cheti cha ndoa) kuthibitisha uwepo wa ndoa hiyo.
Gumegume limeaibika na kukosa hata senti kutoka kwa mjuba.
Asanteni