Mwanamke ukiishi naye kinyumba (bila ndoa) hata kwa miaka kadhaa, kisheria hastahili kupata chochote endapo mtaachana

Mwanamke ukiishi naye kinyumba (bila ndoa) hata kwa miaka kadhaa, kisheria hastahili kupata chochote endapo mtaachana

Sheria zingine za ndoa ni za kipuuzi sana. Yaani uishi na mwanamke mzae watoto na mpate maaendeleo halafu mwanamke asitambulike katika mgao wa mali? Kwani ndoa ni lazima iandikishwe huko kwenye usajili? Ndoa inaanza pale ushirikiano ndani ya nyumba unapoanza, hiyo ndio ndoa. Kama mwanamke ataasi basi aondoke tu aache mali aende akaanze kutafuta upya kwingine
Unaandika upuuzi aisee. Ni wanawake wangapi wanachangia maendeleo ya mwanaume zaidi ya kuwa consumers na liability? Wanawake hawana faida yoyote kwa mwanaume economically zaidi ya kupanua miguu na kuzaa watoto.

Unless kuna sheria inaamuru kumlipa mwanamke kwa uchangiaji wake wa ngono na uzalishaji watoto. Unfortunately, hiyo sheria haipo. Na ikitokea basi hiyo ndiyo siku nitakayoenda kujitoa muhanga Dodoma.
 
Amempotezea muda huo muda aliokuwa anamtro angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji mali
Hahaha!! Shughuli nyingine za uzalishaji mali kukaa kwa wazazi wake akila ugali wa bure au kujiuza?

Be specific.
 
Wewe pia umekosea mkuu. Ukiishi na mwanamke zaidi ya miaka miwili uyo tayari ni mkeo. Kama mali zilipatika mkiwa pamoja mnagawana 50/50 kama mali alizikuta mkiachana hawezi kuondoka mtupu kabisa lazima apate mgao, hatopewa 50/50 ya mali lakini ataambulia angalao 10% au 15%. Kilichomuokoa jamaa uyo mwanamke alishindwa kuthibitisha kama wameishi kwa iyo miaka 6 kama mke na mume. Mwanamke angekua na cheti cha ndoa angepata mgao lakini kwa sababu cheti akipo atatakiwa kuthibistisha kwamba ni kweli wameishi pamoja kwa muda huo tajwa, na kuthibisha ilo mwanamke atatakiwa kuleta mashaidi mahakamani majirani, mjumbe wa mtaa n.k hapa sasa ndipo jamaa akamzidi ujanja uyo mjasiliandoa.. inaoneka aliwapanga majirani na mjumbe wa mtaani waseme hawamtambui uyo mwanamke au waeme mwanamke alikua anakuja nyumbani kwa jamaa na kuondoka tu kwaiyo mahakama ikatafsiri kwamba mwanamke alikua kimada tu kwaiyo hana haki ya kupata mgao
Hakuna kitu kama hicho wewe.
Kila jambo lina mwanzo na mwisho. Mmeishi kwa miaka 6? Evidence ya kuonyesha mlianza kuishi miaka 6 nyuma officially iko wapi?
Kuishi na mwanamke kwa zaidi ya miaka 2 kivipi? Nyumba moja chumba kimoja au hata nyumba moja vyumba mbalimbali? Je kama ni mpangaji uliyekuwa unapiga mara moja moja? Vipi kama haupigi?
Vipi kama ni roommate?
Vipi kama ulikuwa unapiga na kumzalisha lakini hamuishi nyumba moja? Au evidence ni mahusiano? Vipi kama ni friends with benefits au your favorite hooker? Unajuaje? Define maana ya "Kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 2" ili tuelewane hapa.

Yaani wakati wanakutana hakusema wala kwenda mahakamani alafu siku wanachaana (hawakuachana sababu hawakuwahi kuwa pamoja kisheria) anaenda mahakamani? Mahamaka ni physical na logical evidence tu na sio stori za vijiweni au wewe unadhani cheti cha ndoa ni karatasi za kuvutia sigara?

Mmekutana kimyakimya mtaachana kimyakimya. Hii Sheria yenye makosa lukuki umeiokotea wapi wewe mwanasheria wa vichochoroni?
 
Bullshit, hichi ulichoandika hakimake sense. Yaani alichuma mali maisha yake yote alafu akastop kuchuma kwa miaka 6 baada ya kukutana na huyo mnyonya damu?
🚮 🚮 🚮
Unaprove vipi hili kisheria? Au hizo mali zimegeuka embe kwamba unachuma na kuacha unavyoamua?
Mali zinazogawanwa ni kama nyumba, mashamba, magari, pesa benki,...

Kwa mfano kama huyo mwanaume alishajenga nyumba kadhaa amepangisha anachukua kodi tu, au ana gari zinamuingizia kipato, nk, maana yake ni kuwa huyo mwanamke amemkuta na hizo assets, so hawezi kuzidai. Ila kama akizipata wapo pamoja anakuwa na haki kudai..

Au ulifikiri watagawana nguo na ugali?!
Kiufupi hakuna ndoa bila ya physical evidence ya karatasi ya cheti cha ndoa na mashahidi. Otherwise hata mpigane superglue na mgandane kwa miaka 3000, bado hamtotambulika kama wanandoa.
Duh, kumbe hujui kitu, foolish!
 
Hakuna kitu kama hicho wewe.
Kila jambo lina mwanzo na mwisho. Mmeishi kwa miaka 6? Evidence ya kuonyesha mlianza kuishi miaka 6 nyuma officially iko wapi?
Kuishi na mwanamke kwa zaidi ya miaka 2 kivipi? Nyumba moja chumba kimoja au hata nyumba moja vyumba mbalimbali? Je kama ni mpangaji uliyekuwa unapiga mara moja moja? Vipi kama haupigi?
Vipi kama ni roommate?
Vipi kama ulikuwa unapiga na kumzalisha lakini hamuishi nyumba moja? Au evidence ni mahusiano? Vipi kama ni friends with benefits au your favorite hooker? Unajuaje? Define maana ya "Kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 2" ili tuelewane hapa.

Yaani wakati wanakutana hakusema wala kwenda mahakamani alafu siku wanachaana (hawakuachana sababu hawakuwahi kuwa pamoja kisheria) anaenda mahakamani? Mahamaka ni physical na logical evidence tu na sio stori za vijiweni au wewe unadhani cheti cha ndoa ni karatasi za kuvutia sigara?

Mmekutana kimyakimya mtaachana kimyakimya. Hii Sheria yenye makosa lukuki umeiokotea wapi wewe mwanasheria wa vichochoroni?
Kwamba ukiambiwa kuishi kinyumba kama mume na mke wewe haujui au unataka kubishana tu? Mkiishi kinyumba zaidi ya miaka miwili uyo tayari ni mkeo kesi ikienda mahakamani ataambiwa athibitishe kama mlikua mnaishi pamoja ndipo hapo atatakiwa kuleta mashaidi mfano majirani, mjumbe n.k ila kama mlifunga ndoa hao mashaidi hawatahitajika atatakiwa kuonesha cheti cha ndoa tu. Katika kesi ya jamaa kilichompa ushindi ni kwamba mwanamke alishindwa kuthibitisha kama kweli waliishi pamoja miaka 6 kwaiyo mahakama ikatafsiri uyo mwanamke alikua kimada tu, kama mwanamke angeweza kuthibisha angepata gawio.. nini haujaelewa mzee baba?
 
Usithubutu. Kama tayari kuna mgogoro kati yenu ukifanya hivyo lazima utadakwa tu ukaishi ndani milele, halafu hizo mali zote pamoja na huyo 'gumegume' utaachia wengine
Hauwezi ukadakwa bila ushaidi wa kukutia hatiani.
 
Lkn mbona sheria hy hy inasema ukikaa na mwanamke kwa miaka miwili bila nyaraka za kufunga nae ndoa, bado sheria zitawatambua kama wanandoa.

Kwahy tushike lipi tuache lipi.?
Leta source hapa sio kujisemea tu. Sheria namba ngapi ya mwaka gani?
 
Hauwezi ukadakwa bila ushaidi wa kukutia hatiani.
Hivi unafikiri wale wanaopeleka askari kuonyesha walipozika wahanga wao kwa siri sana huwa wanapenda?

Wanakuvunja pumb.u moja kwanza kwa koleo, wanang'oa jino bila ganzi, wanaingiza spoke ndani ya mb,o hadi inaishia ndani, unalainika na kufunguka kila kitu.

Kama tayari kuna mgogoro kati yenu halafu ukamuondoa huchomoi broo, utadakwa chap na ushahidi utawasilisha mwenyewe baada ya kibano.
 
Wewe pia umekosea mkuu. Ukiishi na mwanamke zaidi ya miaka miwili uyo tayari ni mkeo. Kama mali zilipatika mkiwa pamoja mnagawana 50/50 kama mali alizikuta mkiachana hawezi kuondoka mtupu kabisa lazima apate mgao, hatopewa 50/50 ya mali lakini ataambulia angalao 10% au 15%. Kilichomuokoa jamaa uyo mwanamke alishindwa kuthibitisha kama wameishi kwa iyo miaka 6 kama mke na mume. Mwanamke angekua na cheti cha ndoa angepata mgao lakini kwa sababu cheti akipo atatakiwa kuthibistisha kwamba ni kweli wameishi pamoja kwa muda huo tajwa, na kuthibisha ilo mwanamke atatakiwa kuleta mashaidi mahakamani majirani, mjumbe wa mtaa n.k hapa sasa ndipo jamaa akamzidi ujanja uyo mjasiliandoa.. inaoneka aliwapanga majirani na mjumbe wa mtaani waseme hawamtambui uyo mwanamke au waeme mwanamke alikua anakuja nyumbani kwa jamaa na kuondoka tu kwaiyo mahakama ikatafsiri kwamba mwanamke alikua kimada tu kwaiyo hana haki ya kupata mgao
Umeeleweka mkuu,hapo sasa umeweka wazi kila kitu ili watu wasije kukurupuka kuiga wakaangukia pua.
 
Ikoje kisheria endapo mume akachukua mikopo benk akajenga halafu mkatengana kwenye mgao nyumba inatakiwa kuuzwa wakati huo makato ya benk wanakata kwenye salary ss hapo Bora nyumba iuzwe. Tulipe den la bank au mmoja aumie na makato
 
Bullshit, hichi ulichoandika hakimake sense. Yaani alichuma mali maisha yake yote alafu akastop kuchuma kwa miaka 6 baada ya kukutana na huyo mnyonya damu?

Unaprove vipi hili kisheria? Au hizo mali zimegeuka embe kwamba unachuma na kuacha unavyoamua? Hizi stori za vijiweni mnatungaga kwa vigezo gani?

Kiufupi hakuna ndoa bila ya physical evidence ya karatasi ya cheti cha ndoa na mashahidi. Otherwise hata mpigane superglue na mgandane kwa miaka 3000, bado hamtotambulika kama wanandoa.

Otherwise Elon Musk angekuwa amefilisika kwa idadi ya mademu aliowagonga, kuwazalisha na kuwapiga chini. Ukilinganisha wanawake wa kimarekani ni experts kwenye sekta ya kugawana mali.
That's why jamaa haoi, ni kupiga, kuzalisha na kupiga chini. Pesa zake anabaki nazo mwenyewe. Na wenye vitobo wanabaki na vitobo vyao. Ni living concubine.

Yaani pesa nitafute mimi kwa jasho na damu alafu mpuuzi mmoja tu ambaye hachangii chochote zaidi ya kitobo atake kugawana pasu kwa pasu kisa tuliishi wote kwa muda fulani? Naahh, you better suck my big fukin dick. Hicho kitu hakitokei.
Mmmh...umeongea kwa hasira kweli mkuu ebu kunywa fundo la maji hapo karibu upunguze jazba kidogo kha!
 
Kuna kesi za rufaa ziliwekwa humu zikaonyesha kuanzia miaka 2 ni ndoa by implication.
 
Back
Top Bottom