charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,848
- 4,146
But nahis most of the time ke ndio alikuwa anatrombwaWalitombana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But nahis most of the time ke ndio alikuwa anatrombwaWalitombana
Amempotezea muda huo muda aliokuwa anamtro angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji maliKwani alimwambia anauza ?!
Hata huyo mwamba naye kapotezewa muda huo muda aliokuwa anamtombq angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji maliAmempotezea muda huo muda aliokuwa anamtro angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji mali
Safi sana hiyo.Huu ni ushuhuda wa kweli. Kuna mwanaume amepata ushindi mahakamani dhidi ya gumegume, ambao inabidi tushirikishane hapa ili wanaume msiogope kuwafukuza wajasiriaNDOA a.k.a "makupe"au magumegume.
Kuna wanasheria uchwara huku kitaa, wanatutisha kuwa ukikaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi 6 basi huyo ni mkeo (yaani umeoa tayari ) na ana haki zote. Nadharia hii si ya kweli, na hata kama ni ya kweli basi haifanyi kazi mahakamani.
Mahakama inatambua uwepo wa ndoa kwa kutumia nyaraka (cheti cha ndoa), siyo kwa ngonjera na hadithi.
Kuna mjuba alijitwisha gumegume miaka 6 iliyopita huku akiwa kajipanga vema kimaisha. Kumbe gumegume halikuwa na mapenzi ya dhati bali lilitaka kufyomonta (syphoning) ukwasi wa mjuba. Baada ya miaka 3 likaanza kutikisa kiberiti. Mwaka wa 6 gumegume likakata kamba (likavunja mahusiano) na likafungua kesi mahakamani kudai mgawo wa mali.
Mjuba aliliruka gumegume mita 100 na kudai kuwa hakuwa mke bali alikuwa hawara tu. Mjuba huyu ameshinda kesi hiyo kwasbb gumegume lilkosa nyaraka (cheti cha ndoa) kuthibitisha uwepo wa ndoa hiyo.
Gumegume limeaibika na kukosa hata senti kutoka kwa mjuba.
Asanteni
ChaiSheria zingine za ndoa ni za kipuuzi sana. Yaani uishi na mwanamke mzae watoto na mpate maaendeleo halafu mwanamke asitambulike katika mgao wa mali? Kwani ndoa ni lazima iandikishwe huko kwenye usajili? Ndoa inaanza pale ushirikiano ndani ya nyumba unapoanza, hiyo ndio ndoa. Kama mwanamke ataasi basi aondoke tu aache mali aende akaanze kutafuta upya kwingine
Wewe unaumia nini?Amempotezea muda huo muda aliokuwa anamtro angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji mali
People kill for love & money,ikiwa kwenye migogoro kama hiyo ukiona mwanamke anakusumbua una mdedisha tu mambo yanaishautawaponza wenzio wewe,,uyo gumegume alikosa sera tu,,aseee kuna wanawake ni kibokooo🙌🏾🙌🏾
weeeeee unasema kwel au mambo ya mtandaoni sio ya serious 😳?People kill for love & money,ikiwa kwenye migogoro kama hiyo ukiona mwanamke anakusumbua una mdedisha tu mambo yanaisha
Mwanamke mwenzangu katendwa lazima nimuonee hurumaWewe unaumia nini?
Kwa kifupi tu, aliona utamu kut****wa ndio maana hakwenda huko kuzalisha mali.Amempotezea muda huo muda aliokuwa anamtro angekuwa kwenye shughuli nyingine za uzalishaji mali
Kasome vizuri kifungu cha 160 cha hiyo sheria. Haisemi hivyo.Lkn mbona sheria hy hy inasema ukikaa na mwanamke kwa miaka miwili bila nyaraka za kufunga nae ndoa, bado sheria zitawatambua kama wanandoa.
Kwahy tushike lipi tuache lipi.?
Kwani ni malaya kwamba analipwa kwa kitombo?Kwahiyo alimtromba bure for good 6yrs??
Kwani walikubaliana atakua analipwa?Kwahiyo alimtromba bure for good 6yrs??
Wewe pia umekosea mkuu. Ukiishi na mwanamke zaidi ya miaka miwili uyo tayari ni mkeo. Kama mali zilipatika mkiwa pamoja mnagawana 50/50 kama mali alizikuta mkiachana hawezi kuondoka mtupu kabisa lazima apate mgao, hatopewa 50/50 ya mali lakini ataambulia angalao 10% au 15%. Kilichomuokoa jamaa uyo mwanamke alishindwa kuthibitisha kama wameishi kwa iyo miaka 6 kama mke na mume. Mwanamke angekua na cheti cha ndoa angepata mgao lakini kwa sababu cheti akipo atatakiwa kuthibistisha kwamba ni kweli wameishi pamoja kwa muda huo tajwa, na kuthibisha ilo mwanamke atatakiwa kuleta mashaidi mahakamani majirani, mjumbe wa mtaa n.k hapa sasa ndipo jamaa akamzidi ujanja uyo mjasiliandoa.. inaoneka aliwapanga majirani na mjumbe wa mtaani waseme hawamtambui uyo mwanamke au waeme mwanamke alikua anakuja nyumbani kwa jamaa na kuondoka tu kwaiyo mahakama ikatafsiri kwamba mwanamke alikua kimada tu kwaiyo hana haki ya kupata mgaoSiyo kweli, kuna jambo hujaelewa hapo..
Kilichomuokoa huyo "mjuba" ni kuwa alichuma hizo mali zake zote kabla hajaanza kuishi na huyo mdada.
Kama angechuma hizo mali wakiwa wanaishi pamoja hata bila ndoa rasmi, wangegawana kama kawaida
Sure mkuu unatafuta hitman mmoja anaeijua vzr kazi yake unamwambia asiache ushaidi wala trace yoyotePeople kill for love & money,ikiwa kwenye migogoro kama hiyo ukiona mwanamke anakusumbua una mdedisha tu mambo yanaisha
Inaelekea mazingira ni tofauti. Unaongelea waliochuma pamoja, mleta Uzi anasema mwaname alishajijenga ndio huyo mwanamke akaanza kuishi naye, na hakutaja watoto.Sheria zingine za ndoa ni za kipuuzi sana. Yaani uishi na mwanamke mzae watoto na mpate maaendeleo halafu mwanamke asitambulike katika mgao wa mali? Kwani ndoa ni lazima iandikishwe huko kwenye usajili? Ndoa inaanza pale ushirikiano ndani ya nyumba unapoanza, hiyo ndio ndoa. Kama mwanamke ataasi basi aondoke tu aache mali aende akaanze kutafuta upya kwingine
Usithubutu. Kama tayari kuna mgogoro kati yenu ukifanya hivyo lazima utadakwa tu ukaishi ndani milele, halafu hizo mali zote pamoja na huyo 'gumegume' utaachia wenginePeople kill for love & money,ikiwa kwenye migogoro kama hiyo ukiona mwanamke anakusumbua una mdedisha tu mambo yanaisha
Nakuunga mkono kichwa na miguuKwa kifupi tu, aliona utamu kut****wa ndio maana hakwenda huko kuzalisha mali.
Bullshit, hichi ulichoandika hakimake sense. Yaani alichuma mali maisha yake yote alafu akastop kuchuma kwa miaka 6 baada ya kukutana na huyo mnyonya damu?Siyo kweli, kuna jambo hujaelewa hapo..
Kilichomuokoa huyo "mjuba" ni kuwa alichuma hizo mali zake zote kabla hajaanza kuishi na huyo mdada.
Kama angechuma hizo mali wakiwa wanaishi pamoja hata bila ndoa rasmi, wangegawana kama kawaida