Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kaka ? Nikuibie siri.Kipo bwana zamani walikuwa wanasema wanataka mwanaume tall dark and handsome, awe na pesa na anua kusugua mbususu Kelsea upo?
Wanachokikosa kwako wanakitafuta kwa mwingine.Ndio hivyo lakini sasa mbona sie wenye pesa na vibamia mnatukataaa wakati kilaknishi cha mbususu tunacho
Full package inatafutwa na kila mtu na kila atakayekutana nae katika watu 10 basi 8 kati yao wataenda kwa sangoma kuweka Tag ili wasiachwe 😂Kwakweli hapo lazima mgao uhusike 😃😂😂,, maana kila mtu atakua anamng’ang’ania.. Yanini pressure za ujanani wakati mikono na nguvu ninazo za kutafuta hela😃
Mawazo ya Kipumbavu, mnawaza kutunzwa tu na hapo hapo mnawaza 50/50,hamnaga akili nyie isipokua mama yangu tu mzazi ambaye na yeye watajuana na mshuaKwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Kila mtu ana njaa ila usiweke bango usoni😂 nimeielewa sana hii!My dear, hukuzingatia mwanzo niliposema watu hatufanani?
Sina cha kudanganya as ananijua kuliko ninavyoandika hapa. Hakuna asiyependa hela ila sio kuweka katika vigezo.
Nakuelewa sana,, tatizo me niko natetea mada ya Joannah ndo iliyopi mezani😂😂Bado nasema umeelewa tofauti, unavyovizungumzia ni tofauti kabisa na hoja yangu.
Sijakataa kuhusu ishu ya kupenda hela na jegeje. Unazijua sifa za mwanamke bora wale tunaowaita wife material?
Kama ilivyo kwenu nyinyi mna sifa zenu za mwanaume may be awe na hela n.k hivyo hivyo kwa upande wetu kuna sifa za mwanamke wa kuoa, hatuoi tu kwa sababu ni mwanamke, kuna sifa na vigezo.
Penda pesa, penda jegeje ila heshima iwepo, huniheshimu na ninajua nikuoe? Unaweza mshauri kaka yako aoe mwanamke asiemheshimu?
Kipengele ni maokoto tu hao wa kuwasha moto tupo wengi sana, na hata ukiamua kujitafuta nina hakika kwenye watano utakaochagua hutokosa wawili wa kukuwashia huo moto
Ila kwenye maokoto sasa[emoji23][emoji23] unaweza kumaliza mji mzima na usiambue
Hivyo cha msingi we dada tafuta pesa, uwe na hiko kimoja huo moto utaukuta tu , na tutakuwashia mpaka ukitoka magetoni ukae hata mwezi hutamani tena dudu la yuyu
Jamani wewe🤣🤣🤣🙌Nahisi kukuelewa, aisee pamoja na uzee huu bado tunajifunza kwa vibinti kama nyie🤣🤣
Kwangu mimi tafsiri ya mwanamke anayetanguliza hela mbele kwa mgongo wa mapenzi au kama kigezo cha kunipa mbunye ni sawa na kuniuzia huduma.Tupendeni jinsi tulivyo tuwape raha duniani; kutoa hela ni sawa na kununua huduma
Yaani😂😂😂,, unaweza kukuta hadi jamaa anachanganyikiwa haelewi abaki na nani anavutwa vutwa tu kumbe madawa yanafanya kazi😃🤒Full package inatafutwa na kila mtu na kila atakayekutana nae katika watu 10 basi 8 kati yao wataenda kwa sangoma kuweka Tag ili wasiachwe 😂
Mi sitii neno kwa dada yangu mkubwa asijenichongea kwa bi mkubwa nikaukosa hata huu ugali wa shikamoo 😅Nakuelewa sana,, tatizo me niko natetea mada ya Joannah ndo iliyopi mezani😂😂
Poleni sana malaika walinzi😃😂🙌Mi sitii neno kwa dada yangu mkubwa asijenichongea kwa bi mkubwa nikaukosa hata huu ugali wa shikamoo 😅
Bora niendelee kuishi kibaharia tu, maswala ya kulogwa hapana.Yaani😂😂😂,, unaweza kukuta hadi jamaa anachanganyikiwa haelewi abaki na nani anavutwa vutwa tu kumbe madawa yanafanya kazi😃🤒
kama unauwezo wa kustahimili genye basi huo ni uamuzi mzuriBora niendelee kuishi kibaharia tu, maswala ya kulogwa hapana.
No hata sio kusema uwezo wa kustahili genye but ni kufanya choices nzuri. Kuna aina ya wanawake wako freshi tu. Uzuri mi nikikaa na mtu tukaongea kwa zaidi ya nusu saa nakuwa nishaisoma mentality yake chap.kama unauwezo wa kustahimili genye basi huo ni uamuzi mzuri
Mkuu hakuna kitu naogopa kama kutengenezwa, mtu akikuroga tayari kashakumaliza.Bora niendelee kuishi kibaharia tu, maswala ya kulogwa hapana.
Nini tena mpwa?Jamani wewe🤣🤣🤣🙌