ππ₯Nadhani watu wa aina yako mmebaki wawili tu hadi sasa,. Wewe na baby dadie wangu, ananielewa sana na hatujai kusumbuanaππ
Hayo yako sasaπππDuh wewe utakuwa na high sex drive/libido yaani unapelekewa π₯ non stop na huchoki.
Kuna wale wanawake baada ya maandalizi pump mbili tu amemaliza na anamsukumia mwanaume huko mbali hataki tena.
Pambaneni mtapata wa ndoto zenu.. wenzenu tulishaomba tukawapataππUhalisia wa mtu haujifichi ng'oo utafake lakini utachoka, uzuri ni kuwa kila mtu ana vipaumbele vyake na anajua anachokitafuta.
Ukitafuta pa kutokea(kasoro) ni lazima utapata tu.
Uwezi kuwa real 100% kwa mtu unaekutana nae ukubwani kama nywele za kwapani, jipe muda kila pattern itafunguka kadri muda unavyoenda sio tunajuana jana alafu leo uwe umeshanijua kila kitu as if tumefahamiana miaka 7 iliyopita.
Sana.Halafu wanajua kudai
Mmmm wewe unapenda show za kibabe. Nishakugundua!Hayo yako sasaπππ
Hongereni kwa kuwapata ishini humo humo πPambaneni mtapata wa ndoto zenu.. wenzenu tulishaomba tukawapataππ
Kila la kheri
AmenππHongereni kwa kuwapata ishini humo humo π
Shetani ukimaanisha ?Shetani haridhiki hata ufanye nini
Nasubiria karibu na kwa Mangi, kama kuna soda nichukue kabisa!!πNi suprise daktari subiri yafike π
π usichoke kusubiri daktari, sio bure we utakuwa daktari wa moyo ila sijui moyo wa nani.Nasubiria karibu na kwa Mangi, kama kuna soda nichukue kabisa!!π
Nimekuona tokea kule juu nikasema ngoja niendelee kukusoma, mwisho umefunguka mwenyewe.Hakuna kitu kama hicho we hayaπππ.. Unadhani hata yeye mwenyewe angekua hivyo wa maandishi yake jamaa angemtindua miaka yote ile na kumwachaππ.. Kwasababu hakuna mwanaume asiyependa malaika wa namna hiyo
Asa we jidanganye ujuteπ
Kama sio hawa viumbe, ungekuta tuko bustani ya Eden tuna kula na kunywa, hakuna shida kila kitu kimejaa, mali na kila aina ya utajiri vimejaa, shida ilianza tu baada ya hawa viumbe kuletwa, akawa na urafiki na shetani, tamaa yao ilianze huko, so acheni kufikiri utamridhisha, tamaa yake hatosheki, ni asili, ngoja nikae kimya, Biblia inasema hivyo.Shetani ukimaanisha ?
Mimi malaika nasema, Amen.ππππ
Huu mwaka usiishe wallah!!
Mbona umechukulia serious sana best πππ... kuna mahali nimekutonesha labda??Nimekuona tokea kule juu nikasema ngoja niendelee kukusoma, mwisho umefunguka mwenyewe.
Nikuulize tu, wewe hujawahi kuachana na mtu mwenzetu? Huyo uliyenaye ndio jamaa yako wa kwanza na utakufa nae?
Sikuweka sababu wala ukweli wa kuachana kwetu? Wewe unajuaje kwamba yeye ndio ameniacha na sio mimi nimemuacha?
Utajuaje labda mimi ndio nilikataa ndoa?
Epuka sana kuongelea mambo ya watu katika chuki ilhali huujui uhalisia.
Mimi kusema vipaumbele vyangu ndio kunifanye malaika? Mbona mimi nilisema naheshimu vipaumbele vyenu na hakuna nilikoweka dhihaka?
Half american ajichanganye vipi? Mi si niliweka wazi pale kabisa kwenye post ile ninae kaka mzuri tayari? Naona unaungua nafsi kweli mimi kupata sifa, pole.
No women, no crying, kuna uhalisia kwenye hila ila tuishi nao kwa akili sana.Kama sio hawa viumbe, ungekuta tuko bustani ya Eden tuna kula na kunywa, hakuna shida kila kitu kimejaa, mali na kila aina ya utajiri vimejaa, shida ilianza tu baada ya hawa viumbe kuletwa, akawa na urafiki na shetani, tamaa yao ilianze huko, so acheni kufikiri utamridhisha, tamaa yake hatosheki, ni asili, ngoja nikae kimya, Biblia inasema hivyo.
Nakazia hapo mkuu.Wanawake wanazingatia sana hayo masuala mawili (Pesa pamoja na kufikishwa)
Nakumbuka Mwaka 1989, binti niliyekuwa namlipia Kodi kule Upanga alinisema karibu nife eti kwanini nimewahi kumaliza na yeye hajafika (nilitumia sekunde 15 kufika safari).
Nikamwambia unajua nina miaka mingapi?(Wakati huo nilikuwa ni Mzee wa miaka 53 na yeye alikuwa Binti wa miaka 20)
Pesa na kumridhisha Mwanamke ni vitu aghalabu sana kuvikuta Kwa Mwanaume mmoja.
Binti ukimpata Mwanaume wa hivyo, hakikisha humpotezi kirahisi π