Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Ushauri mzuri sana babu, huwa napenda kujifunza kwa wakubwa zangu.

Ni wazi ukiendekeza mapenzi/wanawake huwezi kuendelea.

Mapenzi yanagharimu kila kitu afya, uchumi na muda. Na vyote hivi ni muhimu sana katika maendeleo binafsi.

Nayapenda sana mapenzi ila kuna muda nayaogopa sana.
 
Nimekupata my friend😃😃... Nadhani nilikwambia pia niko naunga mkono mada ya joannah tena nikiwa nacheka.., nadhani pia umeona kuna post nyingine nilisema mimi napenda nini..
You people me sijawahi kuwa serious humu jamani hua namsapoti tu kila mtu nikijiskia🤦‍♀️🤦‍♀️
 
Ujengewe SANAMU kaka yake.
 
✌ piiiiiiiiiiiiiiisi endi lavyuuuu
 
Sasa ukidet na wanawake wa kiswahilini wale rate ya kulogwa anytime inakuwa ni 80%....Wengi akili ndogo halafu shule walienda kujifunza kuhesabu na kusoma tu ila hawajaelimika na kupata exposure.
Tena we ulivyomjuaji nikikupata nakuendea Nampula Msumbiji Ili utulie hiyo akili yako hiyo,ubahili tupa kule😁😁😁
 
Kwa maelezo yako hapo inahusika Histori na sio Chemistry.
 
Hii nchi ina vijana mnawaza kutiana muda wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…