Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁🤠!Kwa hiyo nikomae tu hata kama Sina amani?nasepaaaa
Nope kuna mwingine independent kinoma hata ukimpa vizawadi / pesa kwake anaona unamzingua (unadhani wakati Obama anahangaika na kufanya Harakati zake) na Michelle anamsaidia hapa na pale angeona Obama tule tupesa anamnunulia lingerie za huko France si angeitisha Kikao cha Dharula ?Mwanamke hawezi kuwa na pesa bwana....hata kama ni CEO ila ya mpenzi ni tamuuuu
😂😂😂😂😂😂 kijana mwenye uwezo wa kupata 1M kwa mwezi huyo amejipata mbona. Wanawake wanachekesha mno na fantasy zaoJoannah ameuliza mahali kwenye huu uzi eti kwani hamna vijana wenye hela, mm nkamuuliza asilimia ngapi ya vijana Tanzania wana uhakika wa kupata walau sh million 1 kwa mwezi, hapo sijaweka factor zingine, wadada wa sahivi standards zao nyingi hazipo realistic
Ukienda YouTube, Kevin Samuels (may he rest in peace) alikuwa anawaambia wanawake ukweli kuwa wapo delusional, hadi wanawake wakawa wanamchukia Extrovert
Hawajui mshahara was wakubwa huo, na sio kijana😆🙄😂😂😂😂😂😂 kijana mwenye uwezo wa kupata 1M kwa mwezi huyo amejipata mbona. Wanawake wanachekesha mno na fantasy zao
Ukweli ni mzuri kama utazungumzwa katika muktadha sahihi. Ndio maana busara ni muhimu sana kwenye maisha yetu haya. Mfano mzuri ni mahakamani ambapo kusema ukweli ni tiketi yako ya kwenda jela moja kwa moja ikiwa umeshtakiwa.Unadanganyika kirahisi sana brother.....Bora sie tunaosema ukweli na uwazi hao wa kujikuta independent 🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwanza ncheke
Wapo wachacheIna maana hakuna Kijana anaweza kukuhudumia na kukufikisha kibo?sema ukweli?
Kwangu utakosa I phone 13, ila tikiti maji uta pataIna maana hakuna Kijana anaweza kukuhudumia na kukufikisha kibo?sema ukweli?
Amini kwamba yani, mtu anavimbisha tumbo kwenye barHawajui mshahara was wakubwa huo, na sio kijana😆🙄
Ukweli itabaki kuwa ukweli,hauchangamani na uongo.... mwanamke kujisema eti yeye ni independent hataki kutunzwa na Mtu wake ni uongo... Sheria Iko hivi,Mwanaume asipokutunza wewe,atamtunza mwenzio....Ukweli ni mzuri kama utazungumzwa katika muktadha sahihi. Ndio maana busara ni muhimu sana kwenye maisha yetu haya. Mfano mzuri ni mahakamani ambapo kusema ukweli ni tiketi yako ya kwenda jela moja kwa moja ikiwa umeshtakiwa.
Basi ibaki hivyo ila njaa hazimpendezi mtu kama sutiUkweli itabaki kuwa ukweli,hauchangamani na uongo.... mwanamke kujisema eti yeye ni independent hataki kutunzwa na Mtu wake ni uongo... Sheria Iko hivi,Mwanaume asipokutunza wewe,atamtunza mwenzio....