Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Kuna kadem nilikatongoza kimasihara kakanikataa nikabid nijifanye nimekazimikia sana mpaka nikawa nakapa pesa, nakajal vibaya ndipo kakanikubal, kalivyo nikubal nikaanza kukalingia nikawa stak Shobo nako ila mpaka sasa kamenambia kako tayari kunipa hata gem ilimradi kawe na mimi,, lkn kumbukeni sikukapenda nilikuwa nakaigizia tu sasa sijui nifanyej ila ni kazuri vbaya mno...ila sina hisia nae kansa daah!
 
Imagine kumiliki miaka 53 miaka 36 iliyopita [emoji12]
------------
Maisha ya sasa Mwanaume usipotulia ni vigumu sana kupata maendeleo.

Maana hakuna Mwanamke utaanzisha naye mahusiano usiache kumuhudumia,

Imagine una Mademu 3 Kwa pamoja. Utaweza kweli kujenga na kujiwekeza? Maana kipato chako chote kitakuwa kinaishia Kwao tu [emoji12]

Pia kuna risk ya kupata maradhi

Hivyo Chukueni tahadhari
Nakutafuta babu
 
Back
Top Bottom