Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
πππ hilo kweli ww pesa huna kabeeesaaa[emoji23][emoji23]sema pesa tu ndio sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ hilo kweli ww pesa huna kabeeesaaa[emoji23][emoji23]sema pesa tu ndio sina
Nifah unateseka ukiwa wapi Sasa hivi?Ama kweli watu hatufanani. Ulivyovitaja kama vigezo vikuu kwangu sivyo ninavyohitaji kutoka kwa mwanaume wa kujenga nae familia.
Lakini, naheshimu mtazamo wako Joannah na wote wenye vipaumbele hivyo.
Kila mmoja na namna anavyoyaona maisha.
Nimesoma kidogo hapo naona watu wanatoa povu, sisy Joa hao hao watu ndio baadae ukiachwa na mtu utaskia "kaachwa hajapewa chochote"Una Imani yangu nyingi sana Sina shaka na wewe!
Hii mada ya sisy Jo nimeisoma vizuri na nashukuru huna mkono mfupi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hutajwi tatizo
Nawaza bila ww kunipiga tafu mara kwa mara sijui ingekuwaje[emoji23][emoji23][emoji23] hilo kweli ww pesa huna kabeeesaaa
ππππ Hivi dada unajua km wizzy kakimbia mahari ukweni??Kwani akikupa vyote utarukaruka?hapo tu umeshikamana kama ruba πππ
ππππ Na ww nikuache??Nimesoma kidogo hapo naona watu wanatoa povu, sisy Joa hao hao watu ndio baadae ukiachwa na mtu utaskia "kaachwa hajapewa chochote"
Ww ukipata unayempenda lazima akuhudumie, Kama hakuhudumii achane nae
Kuna kitu unanitafuta πππHii mada ya sisy Jo nimeisoma vizuri na nashukuru huna mkono mfupi
Boss mama inshallah Mungu akuzidishie[emoji120]
Acha basi, tulienda kufata pesa bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi dada unajua km wizzy kakimbia mahari ukweni??
ππππ Sijui nakusaidiaje kwa ulichokifanyaNawaza bila ww kunipiga tafu mara kwa mara sijui ingekuwaje
Uongo ππππAcha basi, tulienda kufata pesa bana[emoji23]
Ntakufa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na ww nikuache??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sijui nakusaidiaje kwa ulichokifanya
πππ Basi sikuachi beibyyy ππNtakufa[emoji23]
Mbavu zinaniuma sitaki kucheka πππ[emoji23][emoji23]