joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sijaelewa hapo kwenye history na chemistry...?Kwa maelezo yako hapo inahusika Histori na sio Chemistry.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa hapo kwenye history na chemistry...?Kwa maelezo yako hapo inahusika Histori na sio Chemistry.
Njaa mbaya bro, juzi nahesabu tofali zilizo tumika kujengea chumba Ninacho ishi😆.Basi ibaki hivyo ila njaa hazimpendezi mtu kama suti
Eeeeeehg🤪Njaa mbaya bro, juzi nahesabu tofali zilizo tumika kujengea chumba Ninacho ishi😆.
👉Miksa kukosoa kazi ya mafundi
View attachment 2910968
🤣🤣Nilikunywa kitu kikali, hangover ilivyoisha naingia JF nakutana na huu Uzi Sasa naendelea nao nikiwa sober
PM ya nani Sasa?Nilishapotezaga funguo
Sawa sawa, kazi ni kipimo cha utu!Haya ni maneno ya wanaume bahili😆
inautamu wake ila ikiwa ni NDOA utamu wote unaondoka ni mwendo wa stresssNgono tu
Nayatakua tu si mnatak mteremko!Dah nyie watu mnafanya maisha kuwa magumu sana
Una bisha au😆Eeeeeehg🤪
Joannah bn Leo akili imekutuma nini zaidi naona madini unadondosha tu apa🤏😂😂Kwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Mtulie Sasa hakuna mwanaume makin apendae Gold diggers.Mtatutoa roho acheni hizo
Ila akikosa kimoja, basi isiwe pesa😂Shikamana shoo🤣🤣
Hahahaha mule mule mzee, haipingwiUna bisha au😆
Tunafanya kazi fresh tu mbona,ila na ya babe unadhani asiponipa Mimi Kuna mwingine atapewa so Bora anipe kabisaaaa