Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha UFALAUmeielewa mada vizuri? Mahusiano yasiyo na dharau hayaji kwa kutongozana ukiona ulitongozwa hata kama umeolewa basi ujue ulidharaulika kwanza
Hahaa,embu njoo kule PMWee n domo zege, kwahiyo hapa unatafuta huruma ya wadada wakutunuku mahusiano pasipo kutumia ushawishi. Pole sana lol
Yote sawa tu nitongoze nitongozwe yote poa tu lkn siwez kukaa macho juu eti itakuja automaticallySawa wewe si unapenda kutongozwa
Uwiiiiiiiiiih nakujaaaah lolHahaa,embu njoo kule PM
Hii ndo dharau sasa..
Nakusubr Mtoto.Uwiiiiiiiiiih nakujaaaah lol
Jamani [emoji16][emoji16][emoji16]Ukimaanisha kwamba baba yako alimdharau mama yako,, poyoyo
Hello Shimba!Jamani [emoji16][emoji16][emoji16]
kutongoza ni nini? twende taratibu mkuuUmeielewa mada vizuri? Mahusiano yasiyo na dharau hayaji kwa kutongozana ukiona ulitongozwa hata kama umeolewa basi ujue ulidharaulika kwanza
Naja dea usijariiihNakusubr Mtoto.
Natumai utakuwa member wa ule uzi wa kula tunda kimasihara.Yaani anakuvulia chupi bila kumtongozaMahusiano yanakujaga automatic bila kutongozana mnajikuta tu hadi chupi mmevuana
hata hapa nipo gugo !aya jibu swaliGoogle utapata jibu zuri