Mwanamke unajisikiaje unapobambikiza mtoto kwa baba tofauti?

Mwanamke unajisikiaje unapobambikiza mtoto kwa baba tofauti?

Vikintu

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2021
Posts
2,051
Reaction score
3,162
Tabia ya kubambikizia akina baba watoto wasio wao imeendelea kushamiri miongoni mwa akina mama. Swali langu kwenu, mnakuwaje na amani katika maisha yenu kwa kukaa na siri kuu namna hiyo? Unakuta wengine wamekuwa walokole au wanaenda kuungama, je dhambi hii mnaiungama pia? Na kama mnaiungama, je mnawaomba msamaha wenzi wenu? Kama sivyo, mnadhani mnaweza kupata msamaha muutakao bila kuwashirikisha waathirika? Hapa namaanisha akina baba wanaobeba mzigo usio wao kwa maisha yao yote bila kujua.
 
Bahati Bukuku na wimbo wake wa Dunia Haina huruma, ndo amechochea hiki kitu.

Et yupo Mungu anaweza kusamehe.



Kwanini Hakutumiw Kondomu??

Kwanini hakunywa P2 ??.

Haya kwann hakutoa mimba hiyo??.


Yaan Bahati Bukuku Ile mimba alibeba ili amukomoe jamaa.


Wanaume wenzangu, Ukiona mwanamke kabeba mimba nje, hajaitoa, kazaa, ujue kafanya Kwa akili kabisa yenye makusudi, na Wala USIMUONEE HURUMA .
 
Tamaaa ya Hela tu mkuu inawafanya wamnyime haki mtoto kwa kumpa baba feki.Harafu ukifulia ama mtoto akikua ndo anakuja kusema ukweli ww ulie lea mtoto unabaki na maumivu makali ..mfano hai mzee abdul baba yake daimondi.Mama haoni hata huruma ana injoi tu mzee anaumia ndani kwa ndani.
 
Tamaaa ya Hela tu mkuu inawafanya wamnyime haki mtoto kwa kumpa baba feki.Harafu ukifulia ama mtoto akikua ndo anakuja kusema ukweli ww ulie lea mtoto unabaki na maumivu makali ..mfano hai mzee abdul baba yake daimondi.Mama haoni hata huruma ana injoi tu mzee anaumia ndani kwa ndani.
Kwani Mzee Abdul sio babayake diamond?
 
Back
Top Bottom