Mwanamke unakubalije kunuka kikwapa? Kikwapa ni alama ya uchafu

Mwanamke unakubalije kunuka kikwapa? Kikwapa ni alama ya uchafu

Kuna msela humu JF alisemaga yeye anaenjoy mwanamke anaenuka jasho halafu na nywele za kwapa asinyoe yaani zile nywele hua zinageuka mpk rangi, anakwambia akiona vile stimu zinapanda na ananyonya kwapa hivyo hivyo.
 
Ashakum si matusi

Kuna mwaka 1974 au 1975 nilipanda treni kutokea Itigi kwenda Dar, daraja la tatu, **** mwanamke alikuwa ananuka ajabu

Na asiyo kwamba alikuwa mchafu wa nguo, la hasha, sijui harufu gani ile, nimeisikia mara chache kwa umri wangu húu, unaweza kutapika!

Afadhali tulipata Dodoma maana alishuka, lakini sehemu aliyokaa ilibaki na ile harufu kwa dakika kadhaa.

Eeee siyo harufu ya hedhi. Sijui hadi leo ni harufu ya nini!

Na wala haikuwa harufu ya dawa za kienyeji ama mafusho ya tiba za kijini maana miaka kadhaa baadaye niliisikia tena harufu kama ile kwa mwanamke mwingine kwenye UDA.
 
Sio mwanamke tu, harufu ya kikwapa haipendezi kwa jinsia zote, binafsi mwanaume mwenye kikwapa kama beberu simpendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sipendi harufu ya kikwapa lakn pia sipendi mwanamke apake deodorant yaani napenda kale ka harufu ka asili
Ukute mdada ni msafi ananyoa zile nywele za kwapa vizuri halafu anaoga vizuri hata asipopaka deodorant utaenjoy sana maana wanakuwaga na ka harufu flani natural ka kike kike kanaamsha mizuka hatar!
Kweli we mbwa dume [emoji38][emoji38]
 
Sio wote wanatumia hayo matakataka, wengine wana aleji nayo, hata harufu mtu anapata mafua na kichwa. Isue ni usafi wa mazingira ambayo yana hewa ya kutosha,
Mnuka kikwapa akioga akitembea robo saa akitoka jasho lazima anuke kikwapa dawa ya mnuka kikwapa ni kuoga mara 3 na kutumia Deodorant

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mnuka kikwapa akioga akitembea robo saa akitoka jasho lazima anuke kikwapa dawa ya mnuka kikwapa ni kuoga mara 3 na kutumia Deodorant

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Huyo mdau hataki kukubali hali halisi, lazima uzuie harufu ya kwapa kwa deodorant coz hata perfume haikati jasho la kwapa inatakiwa utangulize deodorant
 
Kuna msela humu JF alisemaga yeye anaenjoy mwanamke anaenuka jasho halafu na nywele za kwapa asinyoe yaani zile nywele hua zinageuka mpk rangi, anakwambia akiona vile stimu zinapanda na ananyonya kwapa hivyo hivyo.
Are you serious [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji2957][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Kunuka kikwapa ni nishai iwe kwa mwanamke au mwanaume
 
Kama una tatizo la harufu mbaya kwenye kwapa

Paka limao kwenye kwapa mara baada ya kuoga, baada ya hapo pigilia pamba zako then nenda kwenye mishe zako.

Harufu yote inakwisha kwa siku kadhaa, ukipaka cku ya kwanza unaweza kukaa ata siku nne bila kutoa harufu mbaya

Hii ni njia asili isiyo na madhara lakini pia naamini upatikanaji na gharama za malimao kwa maeneo mengi ni mzuri kulinganisha na deodorant

NB: Usipake limao mara baada ya kunyoa kwapa, utatamani ulikimbia kwapa lako kwa maumivu utajayoyasikia
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ashakum si matusi

Kuna mwaka 1974 au 1975 nilipanda treni kutokea Itigi kwenda Dar, daraja la tatu, **** mwanamke alikuwa ananuka ajabu

Na asiyo kwamba alikuwa mchafu wa nguo, la hasha, sijui harufu gani ile, nimeisikia mara chache kwa umri wangu húu, unaweza kutapika!

Afadhali tulipata Dodoma maana alishuka, lakini sehemu aliyokaa ilibaki na ile harufu kwa dakika kadhaa.

Eeee siyo harufu ya hedhi. Sijui hadi leo ni harufu ya nini!

Na wala haikuwa harufu ya dawa za kienyeji ama mafusho ya tiba za kijini maana miaka kadhaa baadaye niliisikia tena harufu kama ile kwa mwanamke mwingine kwenye UDA.
Unastahili Shikamoo yangu
 
Mimi sipendi harufu ya kikwapa lakn pia sipendi mwanamke apake deodorant yaani napenda kale ka harufu ka asili
Ukute mdada ni msafi ananyoa zile nywele za kwapa vizuri halafu anaoga vizuri hata asipopaka deodorant utaenjoy sana maana wanakuwaga na ka harufu flani natural ka kike kike kanaamsha mizuka hatar!
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji3526][emoji3526]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipotumia deodorants au body spray kuna wakati harufu ya jasho itatokeza tu. Kwa hiyo huo usafi wa mazingira sijui unazungumzia upi. Nyoa kwapa ogea sabuni nzuri pitisha roll on uzuie halufu ya kibinadamu binadamu kiasili ananuka ila tunatofautiana kiwango tu. Kuna deodorants hazina harufu kabisa kazi yake ni kukata jasho only.
Mfano wa hizo deodorant
 
Huwa nashangaa sana mwanamke anaenuka kikwapa. Kwa kifupi kikwapa ni uchafu na mwanamke anaenuka kikwapa ni mchafu.

Kuna njia nyingi za kuzuia harufu ya kwapa. Kupaka deodorant ni njia easy kabisa ya kuzia jasho baya la kwapa. Kuna deodorant mpaka za elfu 5. Pia wanasema kuna njia za asili.

Ewe mwanamke hata ukiwa mrembo namna gani ila ukinuka kikwapa thamani yako yote inaisha.

Wanawake mnaonuka vikwapa ni wanawake wachafu.
Malimao bei ndogo sana
 
Back
Top Bottom