Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Kunuka pua ni noma..Kunuka mdomo.
..Kunuka kikwapa.
..Kunuka miguu.
..Kunuka uchi.
..kuwa na makucha marefu machafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunuka pua ni noma..Kunuka mdomo.
..Kunuka kikwapa.
..Kunuka miguu.
..Kunuka uchi.
..kuwa na makucha marefu machafu.
Ohooo mkuu kama unaweza nenda kamwambieKuna dada anaitwa lucy yeye ananuka muda wote. Alikuwa ananuka sana ofisini pale maeneo ya mikocheni kwa warioba.
Jamanii ee yote na yote kunuka kwapa ni ufala kabisa maana njia za kuzuia kwapa ni nyingi mno. Binafsi nachukia mnoo harufu ya jasho kutoka kwa mtu yaani natamani kutapikaa, mfano unaweza kuwa kwenye daradara mmejaa balaa afu harufu itokee unaweza tamani utoe kichwa nje ya gari.
Bhana niliwahi kuwa na Binti mmoja nae ni pic balaa yaan alikuwa ananuka kwapa hvo mpaka nlimkimbia mbalii.
Alafu Kuna watu wanaonuka midomo na wasio oga ni fire jaman
kikwapa ni ugonjwa, ni bacteria wanajizalisha eneo husika kuoza na kutoa harufu mbaya - hii hata uoge mara 8 na utumie perfume zote unazozijua.Huwa nashangaa sana mwanamke anaenuka kikwapa. Kwa kifupi kikwapa ni uchafu na mwanamke anaenuka kikwapa ni mchafu.
Kuna njia nyingi za kuzuia harufu ya kwapa. Kupaka deodorant ni njia easy kabisa ya kuzia jasho baya la kwapa. Kuna deodorant mpaka za elfu 5. Pia wanasema kuna njia za asili.
Ewe mwanamke hata ukiwa mrembo namna gani ila ukinuka kikwapa thamani yako yote inaisha.
Wanawake mnaonuka vikwapa ni wanawake wachafu.
sasa ile harufu ya uchi watu ndiyo wanaipendaga.... piga dendaa pale weee swaaadaktaa !!Bora kikwapa kwa mwanamke kuliko kunuka mdomo na uchi….
Ni moto jaman ww umeelewa niniiiiiiiiHaya maneno mawili ya mwisho umemaanisha nini?
Tumepoteza vijana hapasasa ile harufu ya uchi watu ndiyo wanaipendaga.... piga dendaa pale weee swaaadaktaa !!
Kuna watu hata ajitahidi vipi, Huwa hakitoki. Tunaziita emission, Kila mwanadamu anazo ila wengine ziko very strong.Basi usitumie fake products ingia gharama ununue vitu og usinuke kikwapa mkuu.
Kama una kikwapa cha asili kuoga pekee haitoshi utanuka tu...
Ukiwa nae kwa usafir mrefu unaeza toa kchwa nje ya dirishaKuna watu hata ajitahidi vipi, Huwa hakitoki. Tunaziita emission, Kila mwanadamu anazo ila wengine ziko very strong.
Ukimkuta ananuka kikwapa unamwambiaSio mwanamke tu, harufu ya kikwapa haipendezi kwa jinsia zote, binafsi mwanaume mwenye kikwapa kama beberu simpendi