wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kitu inaitwa MBUPPU mita 50 kutoka alipo mhusika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mwanamke tu, harufu ya kikwapa haipendezi kwa jinsia zote, binafsi mwanaume mwenye kikwapa kama beberu simpendi
Hiiii anachekaaa😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli we mbwa dume [emoji38][emoji38]Mimi sipendi harufu ya kikwapa lakn pia sipendi mwanamke apake deodorant yaani napenda kale ka harufu ka asili
Ukute mdada ni msafi ananyoa zile nywele za kwapa vizuri halafu anaoga vizuri hata asipopaka deodorant utaenjoy sana maana wanakuwaga na ka harufu flani natural ka kike kike kanaamsha mizuka hatar!
Mnuka kikwapa akioga akitembea robo saa akitoka jasho lazima anuke kikwapa dawa ya mnuka kikwapa ni kuoga mara 3 na kutumia DeodorantSio wote wanatumia hayo matakataka, wengine wana aleji nayo, hata harufu mtu anapata mafua na kichwa. Isue ni usafi wa mazingira ambayo yana hewa ya kutosha,
Huyo mdau hataki kukubali hali halisi, lazima uzuie harufu ya kwapa kwa deodorant coz hata perfume haikati jasho la kwapa inatakiwa utangulize deodorantMnuka kikwapa akioga akitembea robo saa akitoka jasho lazima anuke kikwapa dawa ya mnuka kikwapa ni kuoga mara 3 na kutumia Deodorant
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Are you serious [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji2957][emoji51][emoji51][emoji51]Kuna msela humu JF alisemaga yeye anaenjoy mwanamke anaenuka jasho halafu na nywele za kwapa asinyoe yaani zile nywele hua zinageuka mpk rangi, anakwambia akiona vile stimu zinapanda na ananyonya kwapa hivyo hivyo.
Unastahili Shikamoo yanguAshakum si matusi
Kuna mwaka 1974 au 1975 nilipanda treni kutokea Itigi kwenda Dar, daraja la tatu, **** mwanamke alikuwa ananuka ajabu
Na asiyo kwamba alikuwa mchafu wa nguo, la hasha, sijui harufu gani ile, nimeisikia mara chache kwa umri wangu húu, unaweza kutapika!
Afadhali tulipata Dodoma maana alishuka, lakini sehemu aliyokaa ilibaki na ile harufu kwa dakika kadhaa.
Eeee siyo harufu ya hedhi. Sijui hadi leo ni harufu ya nini!
Na wala haikuwa harufu ya dawa za kienyeji ama mafusho ya tiba za kijini maana miaka kadhaa baadaye niliisikia tena harufu kama ile kwa mwanamke mwingine kwenye UDA.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji3526][emoji3526]Mimi sipendi harufu ya kikwapa lakn pia sipendi mwanamke apake deodorant yaani napenda kale ka harufu ka asili
Ukute mdada ni msafi ananyoa zile nywele za kwapa vizuri halafu anaoga vizuri hata asipopaka deodorant utaenjoy sana maana wanakuwaga na ka harufu flani natural ka kike kike kanaamsha mizuka hatar!
Mfano wa hizo deodorantUsipotumia deodorants au body spray kuna wakati harufu ya jasho itatokeza tu. Kwa hiyo huo usafi wa mazingira sijui unazungumzia upi. Nyoa kwapa ogea sabuni nzuri pitisha roll on uzuie halufu ya kibinadamu binadamu kiasili ananuka ila tunatofautiana kiwango tu. Kuna deodorants hazina harufu kabisa kazi yake ni kukata jasho only.
Hata na mimi nilitaka kuuliza swali hili hili. Kunuka kikwapa ni kero kwa jinsia zote - ke na me.Ila wanaume ni poa tu kunuka kikwapa au vipi
Ni kweli kabisa.Hata na mimi nilitaka kuuliza swali hili hili. Kunuka kikwapa ni kero kwa jinsia zote - ke na me.
Malimao bei ndogo sanaHuwa nashangaa sana mwanamke anaenuka kikwapa. Kwa kifupi kikwapa ni uchafu na mwanamke anaenuka kikwapa ni mchafu.
Kuna njia nyingi za kuzuia harufu ya kwapa. Kupaka deodorant ni njia easy kabisa ya kuzia jasho baya la kwapa. Kuna deodorant mpaka za elfu 5. Pia wanasema kuna njia za asili.
Ewe mwanamke hata ukiwa mrembo namna gani ila ukinuka kikwapa thamani yako yote inaisha.
Wanawake mnaonuka vikwapa ni wanawake wachafu.