Jamanii ee yote na yote kunuka kwapa ni ufala kabisa maana njia za kuzuia kwapa ni nyingi mno. Binafsi nachukia mnoo harufu ya jasho kutoka kwa mtu yaani natamani kutapikaa, mfano unaweza kuwa kwenye daradara mmejaa balaa afu harufu itokee unaweza tamani utoe kichwa nje ya gari.Malimao bei ndogo sana
Yani wa namna hyo wanalinga Acha kabisaJamanii ee yote na yote kunuka kwapa ni ufala kabisa maana njia za kuzuia kwapa ni nyingi mno. Binafsi nachukia mnoo harufu ya jasho kutoka kwa mtu yaani natamani kutapikaa, mfano unaweza kuwa kwenye daradara mmejaa balaa afu harufu itokee unaweza tamani utoe kichwa nje ya gari.
Bhana niliwahi kuwa na Binti mmoja nae ni pic balaa yaan alikuwa ananuka kwapa hvo mpaka nlimkimbia mbalii.
Alafu Kuna watu wanaonuka midomo na wasio oga ni fire jaman
Ndio yaan very smart lakn kwapa mzee linashusha kiwangooYani wa namna hyo wanalinga Acha kabisa
πππππMalimao yanauzwa mia mia tuNdio yaan very smart lakn kwapa mzee linashusha kiwangoo
Kwel Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malimao yanauzwa mia mia tu
Vipi kwa wanaume .maana vyao ni zaidi .hao ni wasafi?Huwa nashangaa sana mwanamke anaenuka kikwapa. Kwa kifupi kikwapa ni uchafu na mwanamke anaenuka kikwapa ni mchafu.
Kuna njia nyingi za kuzuia harufu ya kwapa. Kupaka deodorant ni njia easy kabisa ya kuzia jasho baya la kwapa. Kuna deodorant mpaka za elfu 5. Pia wanasema kuna njia za asili.
Ewe mwanamke hata ukiwa mrembo namna gani ila ukinuka kikwapa thamani yako yote inaisha.
Wanawake mnaonuka vikwapa ni wanawake wachafu.
Kwel Tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuelewaMuwe mnawazibua makofi
Thawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuelewa
Mmmh weweKuna dada anaitwa lucy yeye ananuka muda wote. Alikuwa ananuka sana ofisini pale maeneo ya mikocheni kwa warioba.
Ananuka nini?Kuna dada anaitwa lucy yeye ananuka muda wote. Alikuwa ananuka sana ofisini pale maeneo ya mikocheni kwa warioba.
πππ π π ππππππππππBora kikwapa kwa mwanamke kuliko kunuka mdomo na uchiβ¦.
Unamsaidiaje, kuondoa tatizo linalomkabili???, Au msaada wako kwake ni kuja kumtangaza huku tena kwa kutaja jina lake?Kuna dada anaitwa lucy yeye ananuka muda wote. Alikuwa ananuka sana ofisini pale maeneo ya mikocheni kwa warioba.