Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

We hujui kwann anakuja kwako !!!!! Akiamua uje kwake atagonganisha magar bora awe anaitwa anaamua aende kwa nan kulko wewe uende kwake mtakutana lundo mlangon na mapenzi yenyewe ndo haya ya hainaga ushemeji
 
Hivi wewe umewahi kuwa na mtu mkapendana kweli kweli?? Sex is every where mammy. Tena hakuna sex inayo mfikisha kilele mwanamke kama ile anapokuwa at easy. Hana fikra ya kujiwa na mtu ghafula asiye mfahamu.
Nikuulize; Mkiwa faragha na huyo mtu wako, ukasikia hodi jamani ni mimi flan, si kwa ujasiri tu unamwambia rudi kesho nipo faragha?? Mbona mna maneno mbofu? Popote nikimhitaji my something wangu, sijali ni wapi.
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu

WHAT? anajua bei ya kupanga nyumba ? akafanye nin akati hata senti yake hanipi ...apite kushoto yaani ....amesikia kwangu ni guest house au ?
 
Kwa hiyo wewe unataka ukachafue mashuka kwa mwenzio halafu uondoke? Basi inawezekana wewe ni mvivu wa kufanya usafi!! Tena ukome Kabisa.
 
Unawaokota wapi hao walipe kodi na sex uwapangie pakufanya du asee huwa mnawaokota wapi
Anawapata wa Kolomije. Mkolomije analipa kodi halafu anapigwa masharti kwamba sex hapa marufuku. Hii ni janja ya huyu mtoa mada ili mchepuko toka born here here town upate nafasi
 
hahhaahhaa kuna wengine hawachangii chochote lakini sex wanataka kwako lodge wanapaona kituo cha polisi
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Ajakupatia..my dear kuna watu ukiwaona tu unataman apoapo lol..[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
Tatizo wanaume wajinga wa aina hiyo hawapo! Eti akulipie kodi ya chumba then akagegedee ugenini hapana!

Na kama watakuwepo basi wamelogwa itabidi wapelekwe kwa mzee wa dude pale ubungo.
 
Mapenzi siyo sex tu, iwapo tuko kwako tumejadili mengi yanayotuhusu with kutomasana na mlango umefungwa, hayo ni mapenzi hitimisho ni sex. Waliotuona twaingia kwako akili zao zimeamini tendo tumelitenda, why sex tuhame? Do not depreave acha jamaa akamatie chini tu.
 
Back
Top Bottom