Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mapwenti kama yoooteee

huyu dada ni mama mchungaji tosha.. mimi namtwikaga fadhaa na mahasira yangu hapo nimepaki na mabegi yangu🤗🤗🤗 ukimshirikisha unarudisha nguo kabatini😂 then unarelax💏 tena unaingia jikon na kupika kabsaa.. raha sana she is blessed
 
huyu dada ni mama mchungaji tosha.. mimi namtwikaga fadhaa na mahasira yangu hapo nimepaki na mabegi yangu🤗🤗🤗 ukimshirikisha unarudisha nguo kabatini😂 then unarelax💏 tena unaingia jikon na kupika kabsaa.. raha sana she is blessed
Anatisha sana.Halafu ni mchokozii😀
 
Nawaza tu ukishindwa kumpenda kama ambavyo mtoa mada ameshindwa ni unaishi maisha ya kufurahisha watu tu huku wewe nafsi yako inasinyaa tu!!!
Ukiwa kama mtoa mada unaomba afe tu uishi kwa furaha
 
Shida yako uliyempenda hukuwahi hata kukuomba namba.. Pambana na tamaa zako umepata ndoa.watoto.goodlife ila kamwe uwezi kuidanganya nafsi katubu
 
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
Unadharau sana
 
Kwako mwalim kashasha
Ah hii kiingereza tunaita error back pass au kwakiswahili wanaita kisoda... Angalia huyu mchezaji wa kike amepewa mpira akiwa peke ake akazubaa mara forward anatokea kwakuweweseka anarudisha mpira kwa kipa kama anafunga freekick mwishowe anajifunga... Mwisho nasema ni goal bora la kujifunga ni goli ambalo unaweza bangulia korosho kwako jesse
 
Eeewalaaaa!!!

Mpaka aamue kuolewa nae basi kuna sababu ilomsukuma, basi aifikirie hiyo sababu maana maamuzi yake ya sasa hivi yataathiri watu wengi sana kuliko angeamua pale mwanzo.
Ajifunze kuwa responsible for her decisions.

Mume angekuwa na shida basi maybe angefikiria jambo lingine, so far ana mume mwema tu. Thamani ya kitu huonekana kisipokuwepo, amshikilie sana mumewe na asiwe na mawazo ya kuchepuka maana hadi kuitaja yawezekana ishawahi kuwa wazoni mwake.

Good men are hard to find, ukimpata mshikilie haswaa lasivyo watakusaidia kumshikilia.
At this stage, me naona hana option. Afike stage aamue tu kuwa "from today I will enjoy my man". Inawezekana ana wants nyingine, ila this is a kind of a man that she needs. Kwenye maisha ukikosa unachokitaka basi unaenjoy tu unachokipata. A lesson to all single ladies out there, ukishindwa kujifunza kumpenda mtu huku nje, extend muda wa kufunga ndoa hadi uanze kumpenda; ukishindwa kabisa, muache tu. Usimzibie mtu riziki ya kuwa na mtu watakayependana naye, kwa wewe kufunga naye ndoa while humpendi kabisa.

Afu maybe anamchukulia mumewe kawaida tu kwa sababu si ni wa kwake, anaye ndani; ngoja siku ajue kuna mwanamke mwingine ndo atajua anampendaje mumewe...... Kwa stage aliyofikia ajue tu kutofautisha Needs and Wants
 
Good.
Thank you
Thank you
Thank you !!moyo wangu umejiskia kuinuka mno baada ya kusoma ushauri wako. Help me Oh God, to see how blessed I am, teach me to reciprocate my husband's love.
You are truly heaven sent
 
Ah hii kiingereza tunaita error back pass au kwakiswahili wanaita kisoda... Angalia huyu mchezaji wa kike amepewa mpira akiwa peke ake akazubaa mara forward anatokea kwakuweweseka anarudisha mpira kwa kipa kama anafunga freekick mwishowe anajifunga... Mwisho nasema ni goal bora la kujifunga ni goli ambalo unaweza bangulia korosho kwako jesse
[emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kweli kabisa Mwl. Kashasha
 
Ninachoangalia je huyu mwanamke anaweza kubeba na kunisindikiza katika kutimiza kusudi langu nililoletewa hapa duniani naoa, sina muda huo wa kutafuta kupendwa kama ninavyompenda akiniheshimu tu imetosha.hawa alitolewa kwenye ubavu wa Adam lakini bado hakumpenda kwa dhati akamsaliti mchana peupe na kumkosesha adam na MUNGU sembuse wewe tuliyekutana mbagala. Kuna muda tunawapenda sana kwa sababu ya tabia na mienendo yenu kuwa mizuri ila sio kwamba ni wazuri kuzidi hao wengine. Ukipendwa tulia, hakuna mwanaume mwenye hisia na mwanamke mmoja tu ni vile tunawaheshimu.
 
Back
Top Bottom