Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Eeewalaaaa!!!

Mpaka aamue kuolewa nae basi kuna sababu ilomsukuma, basi aifikirie hiyo sababu maana maamuzi yake ya sasa hivi yataathiri watu wengi sana kuliko angeamua pale mwanzo.
Ajifunze kuwa responsible for her decisions.

Mume angekuwa na shida basi maybe angefikiria jambo lingine, so far ana mume mwema tu. Thamani ya kitu huonekana kisipokuwepo, amshikilie sana mumewe na asiwe na mawazo ya kuchepuka maana hadi kuitaja yawezekana ishawahi kuwa wazoni mwake.

Good men are hard to find, ukimpata mshikilie haswaa lasivyo watakusaidia kumshikilia.
Seriously, yeye apambane tu mpaka kieleweke. Asije ishia kuharibu welfare ya mume/watoto wake in the name of kusikiliza hisia zake. Kweli mume angekuwa na matatizo mbona tungeleta ngebe zetu. Azifufue/azae tu hizo hisia humo humo zitakuja tu

Haha unachepuka au unaamua kuachika unaenda kuolewa na ambaye una "hisia" naye then unaanza kulalamika hana "attributes" kama alizokuwa nazo ex hubby (GOD FORBID). Tujue kutofautisha Wants Vs Needs
 
Ukiwa kama mtoa mada unaomba afe tu uishi kwa furaha
Hakuna siku nimewahi kuomba mume wangu afe , natamani aishi apate upendo anaotarajia kutoka kwa mke aliemchagua, ndo maana nimekuja wazi kuomba ushauri. Hastahili kuteseka kwa makosa yangu
 
Kumbe mama caren hukunipendaaaa?Ngoja nirudi job utanieleza vizuri
 
Yaani nione imethibitishwa nirudishe...nitajaribu mkuu ila nimepanga siku nikibarikiwa nitamrudishia hela zake na riba
Khantwe you have got to be serious, back to the topic, wengi wa wachangiaji hawako kwenye ndoa hivyo wana uzoefu duni kuhusu ndoa, wanachangia pasipokuelewa, hisia za mapenzi ni Kama mawimbi ya bahari Zina ups and downs, nikujifunza namna ya kunitumia advantegeously on your part, wengi tunaingia kwenye ndoa tukiwa na expectations kubwa zaidi ya uhalisia, tunapokutana na uhalisia tunakua disappointed na hapo shida huanza. Bahati mbaya wanandoa wa siku hizi sio wavumilivu Wala wasiri, hivyo kuongea lolote au kufanya lolote kuhusu ndoa sio shida
 
Vipi k huwa unampa? ....na huwa unakojoaga?......siku moja kubalianeni mtengane kama mwezi hivi halafu ulete mrejesho
 
Na vile binadamu haturidhiki ndio kabisaaaa, ukipata A unataka B mwisho wa siku wants haziishi doh!!
Afurahie tu kumpata mume mwema na asimfanye akaja akajisikia kuwa alikosea kuoa maana hizi nyimbo zitahamia upande mwingine kabisaaa na itakuwa balaa.
Seriously, yeye apambane tu mpaka kieleweke. Asije ishia kuharibu welfare ya mume/watoto wake in the name of kusikiliza hisia zake. Kweli mume angekuwa na matatizo mbona tungeleta ngebe zetu. Azifufue/azae tu hizo hisia humo humo zitakuja tu

Haha unachepuka au unaamua kuachika unaenda kuolewa na ambaye una "hisia" naye then unaanza kulalamika hana "attributes" kama alizokuwa nazo ex hubby (GOD FORBID). Tujue kutofautisha Wants Vs Needs
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana,hata mimi niliwahi oa mwanamke mpaka tukapata mtoto,then baadae akadai hakunipenda.
Nikamwambia fuata taratibu za dini ya kiislam,nikampa talaka,sasa yupo tu tangu 2015 masela wanamkojolea tu,hakuna alieoa,
mama yake mzazi mpaka leo anamlaumu kuondoka ndoani.
Kwa hiyo hawa viumbe bora ule na uondoke au tumia ile kanuni.(find,https://jamii.app/JFUserGuide,forget) fff.
 
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
Hivi umejiuliza na kinyume chake wanaume wanaumia Je wakiwa na wanawake wasiowapenda kisa watoto ?!. Haya mambo ni kote kote. Kikubwa kuvumiliana. Ujana utapita na vurugu zake.

Umesema jamaa anakupenda sasa we unataka nini ?! Hisia ?! What is hisia ?. Ukiendekeza hisia utaanza maasi na bahati mbaya akigundua utaula wa chuya.
 
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
Dah DUNIA kweli haina usawa watu wanakesha kuomba kupata mme kama wako aisee wanakosa wanapata vivuruge ..nawe Mungu kakupa alie sahihi kwako lakini huna hisia nae ..Mungu ni mwema ipo siku atanipa kama huyo .
 
Back
Top Bottom