HonestlyMimi nifanye nini sasa na njaa inaniuma hahaa ila kiukweli najitahidi sana kukaa mbali nae tatizo huwa tunajikuta tu automaticay tumekutana
Ushamzalisha watoto wa tatu,ushachakaza chasis akiondoka hapo anaenda wapi sasa?,ndo maana wanawavumilia sababu hawana namna na ukute ankutegemea wewe kwa kila kitu aende wapi?.Hiyo 90% ya wanawake kwenye ndoa umeipataje babu. Mi kwa uzoefu wangu wanaume zaidi ya hiyo 90% tuliopo kwenye ndoa ndio tunawasumbua wakina mama na wanatuvumilia sasa kama wangekuwa hawana upendo si wangedai talaka wajiendee zao kwa wanaowapenda? Fanya research yako tena.
Honestly
Mbaya hyo na akija kujua utamfanya awachukie na wenzako ambao wangempenda kuwa nae
Kma vp mpotezee usje muumiza mbelen
Sasa hapa unazungumzia assumption babu.siyo wote walioolewa wametoka kwenye dhiki au hawana vipato. Halafu huyo anaewadanganya mwanamke akizaa anachakaa nani? Vijana nawafundisha sasa utamu wa mwanamke unaanza pale anapoanza kuzaa kama mlikua hamjui.Ushamzalisha watoto wa tatu,ushachakaza chasis akiondoka hapo anaenda wapi sasa?,ndo maana wanawavumilia sababu hawana namna na ukute ankutegemea wewe kwa kila kitu aende wapi?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni sehemu gani nimeandika kwamba naishi na mwanamke?
Ook, ila nime muonea sana huruma mdau maana naamin kuna vitu anaamin kwenye kichwa chake kumbe n tofautiSijawahi kumwambia kuwa nampenda na wala hatupo kwenye mahusiano ataumia na nini? Ningekuwa namuektia sawa yaani hata ye mwenyewe nahisi anajua... Nashindwa kumwambia ukweli kwa sababu hajanitamkia wazi ila siku akifungua mdomo wake nitamwambia na nitamwambia kiasi gani nimestruggle kumpenda ila sijafanikiwa
Inawezekana yapo mkuu ila wanasema hakuna binadamu asiye na bei hahaa mimi naamini yapo japo kidogo bwana
Hao wasiozeeka na wasio kuwa na dhiki na wanaojielewa hawakubaligi kuburuzwaburuzwa ama kuwa kwenye ndoa wasizozifurahia au kuwa na mume asiyemwaminifu na alieshindwa kujirekebisha.Wanawake dizaini hii wako radhi kuishi kivyao na kuwa single mothers kuliko kukumbatia ndoa isiyokuwa na furaha wala afya bora.Hao wanaokubali kuvumilia ujinga eidha hawana pakwenda,hawajielewi ama wanasumbuliwa na stockholm syndrome.Sasa hapa unazungumzia assumption babu.siyo wote walioolewa wametoka kwenye dhiki au hawana vipato. Halafu huyo anaewadanganya mwanamke akizaa anachakaa nani? Vijana nawafundisha sasa utamu wa mwanamke unaanza pale anapoanza kuzaa kama mlikua hamjui.
Thats my girl, great advice, be yourself, know what you want, whom you want to be with, and so on,every humanbeing is unique in a way, so in issues abaut marriage and such, i make decisions based on my wisdom and understanding based on my values and principles periodPole aisee, ila una roho ngumu mimi sijali maneno ya watu kuhusu ndoa, ni bora usiolewe kuliko hizi habari
Tatizo namheshimu sana pengine ye anajua ndio mapenzi daah I wish ajueOok, ila nime muonea sana huruma mdau maana naamin kuna vitu anaamin kwenye kichwa chake kumbe n tofauti
Ndo maana unaona anaonyesha dalili bila kusema
N ww itabid uanze kumuandaa kisaikolojia picha picha na shemeji azione ili ajue kabsa anachowaza sicho
Sorry we ni mwanamke au mwanaumeHao wasizeeka na wasio kuwa na dhiki na wanaojielewa hawakubaligi kuburuzwaburuzwa ama kuwa kwenye ndoa wasizozifurahia au kuwa na mume asiyemwaminifu na alieshindwa kujirekebisha.Wanawake dizaini hii wako radhi kuishi kivyao na kuwa single mothers kuliko kukumbatia ndoa isiyokuwa na furaha wala afya bora.Hao wanaokubali kuvumilia ujinga eidha hawana pakwenda,hawajielewi ama wanasumbuliwa na stockholm syndrome
Mkuu wewe ndo mume wa mleta uzi nini?.Mboni hasira,angekuwa karibu usingemlabua makofi kweli?Nimeandika na kufuta mara 4. Wacha nikae kimya tu, ila nyie viumbe nyieee!
Jamaa analala machakani kwa ajili yako na familia, anafanya shughuli ili mridhike na maisha yaliyopo mamamamaaae, halafu unakuja kusemaa.........? Maza Fckuer
Hiyo picha unapiga wakati bado anakujali na unaona he is here to stay na hawezi ondoka.Seriously, huwa anapiga picha na wadada wazuri wazuri anaokutana nao kwenye kazi zake sijawahi hata kushtuka, halafu kazi yake inamweka busy hatari inaweza kupita miezi hatujawasiliana sijawahi hata kummisi
Haha sasa anakwepa ungemuoa huko ndani ingekuwaje sasa mambo mengine bwanaKuna mdada nlihisi anajifosi kuwa na mm, alkuwa anani-text vizuri tu huku ananilegezea sauti, cha kushangaza hakunipenda lakini alinibembeleza nimuoe, nadhani ni kwasababu alisikia rumors kuwa nina pesa, yani hata nlikuwa nkijaribu kum-kiss, demu anakwepesha mdomo, kila saa nkimwambia njoo geto anadai yuko busy, kila siku ananipiga mizinga (kuniomba hela), papuchi eti atanipa nikimuoa, my 6th sense told me huyu mdada anafeki kunipenda..nlimchana live nikamwambia akatafte mwanaume anaempenda, kufeki sio dili..mapenzi ya kuigiziwa mm siyawezi Khantwe
WEWE SEMA NI HIO PARKAGE YAKE ULIPENDA YAANI HELA YAKE, unaweza aje oa mtu ambao hata hujisikia kufanya tendo nae, hutaki hata akuguse, sasa utaishi na mtu maishani yako milele ambae hata HUMUPENDI, ni hela yake unapenda, wadada mko na taabu sanaWakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati . Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia , usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika. Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike. sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu?
Kila kitu unachofanya kwa ajili yako usifanye too much.Anyway labda nieleze kwamba umeandika kwamba kosa ni kuonesha kumpenda mwanamke. Sasa nakuuliza Je ikitokea ukaishi na mwanamke utawezaje kukaa nae bila kuonesha unampenda?